Nimedukuliwa facebook account yangu na kubadilishiwa email na password na mtu nisiyemjua, siwezi tena ku-login kwenye account yangu, kaondoa email yangu kaweka yake na kubadilisha password, MSAADA PLEASE mwenye kufahamu namna ya kurudisha.
Tatizo lake huwa hazina nguvu za kuvuta karatasi ngumu mfano hizo za vyeti mithili ya manila na karatasi za picha double sided,mara moja moja unaweza kubahatisha ikavutwa ikaprint ila sio mfululizo lkn kwa karatasi za kawaida haina shida
Kama kichwa knavyojieleza hapo juu, kuna device 2 mojawapo simu ya Lg Nexus G5 na Mac nathan hii ni pc zina access email yangu kwenye Gmail Kupitia progrm ya Chrome wakati mimi sikuwahi miliki hizo device wala ku login kupitia hizo device kwa mtu yeyote. Nimebadili password ya email yangu lkn...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.