Wenye ujuzi waninasue na kudukuliwa email yangu

Ta Castor

Member
Jul 7, 2012
78
36
Kama kichwa knavyojieleza hapo juu, kuna device 2 mojawapo simu ya Lg Nexus G5 na Mac nathan hii ni pc zina access email yangu kwenye Gmail Kupitia progrm ya Chrome wakati mimi sikuwahi miliki hizo device wala ku login kupitia hizo device kwa mtu yeyote. Nimebadili password ya email yangu lkn bado zina access email yangu, naomba msaada wenu wadau wa kujinasua.
 
Kama kichwa knavyojieleza hapo juu, kuna device 2 mojawapo simu ya Lg Nexus G5 na Mac nathan hii ni pc zina access email yangu kwenye Gmail Kupitia progrm ya Chrome wakati mimi sikuwahi miliki hizo device wala ku login kupitia hizo device kwa mtu yeyote. Nimebadili password ya email yangu lkn bado zina access email yangu, naomba msaada wenu wadau wa kujinasua.
To remove devices from your account:
  1. Use your phone's browser to go to myaccount.google.com.
  2. In the "Sign-in & security" section, touch Device activity & notification.
  3. In the "Recently used devices" section, touch Review devices.
  4. Touch the device you want to remove > Remove.
halafu set account yako iwe na 2 factor authentication
 
To remove devices from your account:
  1. Use your phone's browser to go to myaccount.google.com.
  2. In the "Sign-in & security" section, touch Device activity & notification.
  3. In the "Recently used devices" section, touch Review devices.
  4. Touch the device you want to remove > Remove.
halafu set account yako iwe na 2 factor authentication
Yeah aongeze na two factor aunthentication kwa simu yake anayotumia wale wengne hawatweza tena ku log in
 
Unavyosema TWO FACTOR AUNTHENTICATION una Maana Gani...!?
2 factor authentication ni another layer ya security
unapologin lazima ikuverify ni wewe ,,.so unapologin utaweka username na password yako kawaida,,
ila utaongeza layer nyingine ya security kama namba ya simu,,kwenye hiyo number ya simu utatumiwa verification sms kila unapo fungua akaunti yako,ukishaverify ndio itafunguka.
hii inamaanisha hata kama kuna mtu anajua username yako na password akiingia atatakiwa verification sms imbayo imetumwa kwenye number yako.
 
2 factor authentication ni another layer ya security
unapologin lazima ikuverify ni wewe ,,.so unapologin utaweka username na password yako kawaida,,
ila utaongeza layer nyingine ya security kama namba ya simu,,kwenye hiyo number ya simu utatumiwa verification sms kila unapo fungua akaunti yako,ukishaverify ndio itafunguka.
hii inamaanisha hata kama kuna mtu anajua username yako na password akiingia atatakiwa verification sms imbayo imetumwa kwenye number yako.
Hapa Nimekuelewa Vyema Mkuu
 
2 factor authentication ni another layer ya security
unapologin lazima ikuverify ni wewe ,,.so unapologin utaweka username na password yako kawaida,,
ila utaongeza layer nyingine ya security kama namba ya simu,,kwenye hiyo number ya simu utatumiwa verification sms kila unapo fungua akaunti yako,ukishaverify ndio itafunguka.
hii inamaanisha hata kama kuna mtu anajua username yako na password akiingia atatakiwa verification sms imbayo imetumwa kwenye number yako.
Well said Mkuu
 
Back
Top Bottom