Ebu iweni watu wenye utu kidogo. Izo propaganda, hazina maana, wala hazisaidii kitu katika kumfanya apone. Alishaumizwa, amekaa katika mateso kwa miaka almost 2. Hoja, ni kwamba, ameumizwa, sio upuuzi wa sijui risasi ziliingia, sijui kutoka, mara kulia mara kushoto. Lakini katika yote, tukumbuke...