CCM ina vijana wengi sana wenye uwezo wa akili, uongozi na maadili. Ila nafasi hiyo ya makamu mwenyekiti inahitaji vijana wajifunze kutoka kwa Wazee namna ya kuongoza Taifa ili waje waweze kufanya kwa busara hapo baadaye...
Habari za jioni wana jamvi.
Ndugu zangu nianze kwa kusema kuwa, Tanzania imekuwa ikiongonzwa na Viongozi (Rais) kutoka Chama Cha Mapinduzi tangu tumekuwa Jamhuri. Kwa vipindi vyote hivyo tumekuwa na awamu tano za Marais waliowahi kupewa dhamana ya kuliongoza Taifa hili. Tulikuwa naye Hayati Baba...
Mimi nitasimama na Rais Magufuli.
Kule Rais Donald Trump hawapendi waafrika sio kwa sababu ya ubaguzi wa rangi ila coz anaona ni wavivu kuamua kuhusu hatma ya maisha yao. Sasa kuwa na mtu ambaye anamaamuzi yenye tija kwa Taifa, si dhambi kujivunia kuwa naye.
Rais wetu Nchi yetu Tanzania yetu.
Upo sahihi ila kwa mafanikio anayofikia mtu, watu au taasisi kila mmoja ana namna yake ya kufurahia.
Kama mtu anajenga nyumba akimaliza anaita watu kuzindua haimaanishi hakuna mtu ambaye hana nyumba ila ameona kwa mafanikio hayo basi afurahie kwa namna hiyo.
Ni aina tu ya namna ya kupokea jambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.