.
Siasa siyo chuki ndio maana viongozi wetu wakikutana wanacheka pamoja ila majukwaan wanapakana matope.
Mbowe kwa cheo chake akustahili kutoa kauli kama ile tena anasisitiza hata bila kibali ataandamana inchi inayo ongozwa na katiba uwez ukaandamana bila kibali unavunja katiba ukishabikia...
Ndio maana alikuwa anampga vita zitto..
haha lissu awe raisi raisi au rahisi au?
Maana lissu anafaa uraisi wa waendesha bajaji isiyo wa inchi ataharibu nchi ..
Tundu lissu alihama nccr kwenda chadema kwa ajili ya maslahi
Tundu lissu alipigana kufanakupona kuwa ngoa wakina mkumbo kwa ajili ya maslahi
Slaa kachoka mbowe uwezo wake mdogo wa kufikiri na kujenga hoja
Lissu ndio amebaki akiwayumbisha..yumbisha ...sasa lazma chadema watambue lissu...
umma unataka mabadilko..umma upi??
Mabadiliko ya chama wakati hakuna upinzani tz..
wote waliopo ni wapingaji tu.....
Watanzania wanataka elimu, maji umme, miundombinu na kadhalika
hawataki migomo, maandamano wala kuvunja muungano...
CCM bado inatosha ..kwa kuwa hakuna mbadala ..huwez kujita...
tatizo ulie tuma post ujui ulicho tuma..
cha kukusaidia maana unalazimisha kumchambua mwalimu huku umjui
serekali 3 ni sera ya chadema..kwa manufaa ya kuigawa inchi ili wapate upenyo wa kutawala
serekali ya mkataba nisera ya cuf ili wapate upenyo wa kuendesha dola ..
serekali upepo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.