Mkutano wa CHADEMA Kigoma wafana

Mkutano wa CHADEMA Kigoma wafana

Hii ni habari nzuri kwa mustakabali wa siasa yetu. Hapa kuna watu watapata tumbo la kuhara kwa ajili ya kushindwa kuididimiza chadema Kigoma. Kitengo cha propaganda mitandaoni Lumumba, baadhi watapigwa chini au posho zitunguzwa,hasa waliotoka chadema baadaye wakapewa kazi ya kutukana viongozi wa CDM. Hakuna uwiano wa thamani ya pesa waliyolipwa na matokeo yaliyotarajiwa.
cc: @Juliana Shonza na wenzake.
 
Chadema walianza na shetani lazim wamalize na shetani mtaniambia tu.

Haya maneno yenu ya kifedhuli msisahau kuyaweka kwenye yale majumba yenu ya makumbusho...

Aibu mtakayoipata safari hii siyo mchezo
 
Hivi, si kuna mtu slikuja hapa mbio mbio na kupost eti "CHADEMA yakataliwa Kigoma".....!? Aje atueleze alichomaanisha. Jamani, kuweni na kiasi. Msiruhusu njaa hadi kuondoa utu wenu.
 
Na bado,chezea CHADEMA weye! Kwa hali hii lazima ukoo wa panya buku wapate msiba
 
Hawa wanaolipwa 7,000 ni watu wa namna gani? Mbona ni hela kidogo sana! Au ni malipo ya kila thread wanayochangia? Maana thamani ya utu na akili kuiuza kwa 210,000 kwa mwezi ni matusi makubwa. Na kama hiyo ni kweli basi CCM imeamua kuwatukana tusi lisilo la kufananishwa nalo.

hivi mtu anayefanya life yake kwa malipo ya 7000 ni nani atamsikiliza ?
 
attachment.php
attachment.php
 
Kuna tawi moja pale Mwanga linaitwa Urusi pale ndio chimbuko la Chadema Kigoma kama nao hawajandanywa na CCM basi chama kitaendelea kuitesa serikali, na pale ulipofanyika mkutano nafikiri patakua ni uwanja wa community centre.
 
Back
Top Bottom