Recent content by T.block MBC

  1. T

    Hakuna hukumu kwa mtu mweus.

    kwa kulingana na maisha aliyopitia mtu mweusi, utumwa, ukolon, ukoloni mambo leo, na maisha magumu yaliyojaa machungu makali. Na haya yote Mungu aliona na bado anaona.: Amahakika nasadik hakuna hukumu kwa mtu mweus katika siku ya mwisho.
  2. T

    Original comedy kwisha kazi sasa!

    Comedy ipo socialy. Na ndio maana kuna ndoa ndoano.. Wamekwisha kiukweli.
  3. T

    Hii ndiyo taarifa ya SUGU kuhusu usuluhishi

    Tatizo: Watu wanaunga mkono mapinduzi angali hawajui maana halisi ya mapinduzi.
  4. T

    Kwanini spika anazima hoja ya kujadili mgogoro wa Madaktari?

    Labda wanaogopa mijadala itafika mbali na hata kuibua mijadala mingine kama walimu, na wafanyakaz wengine na changamoto zao.
  5. T

    Miraji Kikwete: Vurugu za Mbeya CHADEMA isizingiziwe

    Mbona CCM wanashindwa kufikiri, kwani CHADEMA ndo walio wafukuza machinga katika maeneo yao ya biashara?
  6. T

    Mkuu wa mkoa wa Arusha afukuzwa soko kuu la Arusha kwa nyanya

    Iyo ndo wajue wazi kwaba hawana chao na hiyo ndo nguvu ya umma.
  7. T

    CHADEMA watoka tena bungeni, Mrema naye atoka!

    Isije ikaonekana we ndo mpuuz na sio wabunge wa CHADEMA.
Back
Top Bottom