Ukonga
Jimbo hili ni.kama ilivyokuwa Temeke enzi za Lyatonga Mrema.hali ni mbaya sana kwenye miundo mbinu hasa barabara zote za kichangani,stakishari,ukonga kitunda,nyantira,mwanagati kibeberu,magore,kivule ni kubaya sana,sana.hakuna mipangilo ya miji nk.Mh Slaa ajaribu kutuonyesha nia ya...