Hapo ndipo unapokutana na mstari utakaokambia hii ni hadithi ya uongo ya kutunga. Hata kama hiyo gari yako ni Bajaji, huwezi kumwambia mwanamke shuka usukume gari, hata Mkurya hafanyi hivyo kwa mwanamke
Inaonekana na huyo mdogo wake unamjua vizuri - ni mtu wa kukukubalia tu ujinga wowote utakaomwambia.
Sasa nikuambie, siku zako za kuumbuka zinakaribia. Aibu kwa ukoo wako na ukoo wa mkeo. Umemtongoza shemeji yako kamwambia dada yake. Huenda huo ndio mwisho wa ndoa yako
Kama unafikiri mamlaka za Ulaya zinajali sana mambo ya Waislamu basi huwafahamu hao watu. Lasivyo wasingekuwa wanagombana nao kuhusu vilemba kichwani na kuvaa kininja. Wanawaona Waislamu wasumbufu tu wakati wameenda kwao kama wakimbizi
Hivi ukiwa Mkristo, mganga akakupa dawa kwa ajili ya tatizo lako, na akasema dawa hii sharti uinywe ukiwa umesimama mbele ya nyumba yako na kuupa mlango mgongo, utaikubali hiyo dawa? Utakuwa na sababu gani za kuikataa kama mkristo?
Sasa tuje kuchinja. Unaambiwa ili ule huyu kuku, sharti...
It is just ku-save face kusema kuku walichinjwa Kiislamu, lakini wanajua wanakula hakuna cha halali au analala. Wewe watu wanataka kuchinja kuku 10,000 kwa siku unasema sijui mfanyeje? Ndio nasema labla ni kuelekeza mitambo ya kuchinjia direction fulani
As long as huko kuvumiliana hakuleti inconvenience kwangu, niko tayari. Msimamo wa UD pale ni safi sana, hamna kengele za kanisa wala salaasalaa asubuhi. Kimeharibika nini?
Kwa hili suala la mwezi na Idd, japo Waislamu wanasema hawaabudu sanamu, mie naona kama kuna kaharufu ka sanamu hapa - yaani mwezi ndio una determine suala kubwa kama hili? Mwezi is just a mound of rocks and dust. Nini unapewa umuhimu kiasi hiki, kwanini wasihesabu tu siku za kufunga?
Tena hii...
Mie nina rafiki Waislamu,nimewalisha sana kuku nyumbani,na sijawahi kuona wamepata tatizo kwa kuwa nilichinja. Tena hawaulizi.
Na vipi Ulaya huko wanakochinja kwa machine, Waislamu hawali?Au mashine zinageuziwa Mecca?
Ila Biteko walimuondoa ki-aina sana. Maana ukishakuwa naibu waziri mkuu au waziri mkuu, huwezi kuwa waziri tena, au hata balozi! Yeye alifikiri wanampandisha apande zaidi, kumbe wanampandisha aanguke zaidi. Hakuona kwa Mrema? Kumwondoa Mrema uwaziri nae walimfanya Naibu waziri mkuu. Akachekelea...
Kulikuwa na maraisi bwana,
1. Uhuru na kazi
2. Siasa ni Kilimo
3. Kilimo cha kufa na Kupona
5. Kazi ni uhai
6. Ubepari ni unyama
7. Elimu kwa wote (UPE)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.