Recent content by Synthesizer

  1. S

    Wale funza wa miguu waliishia wapi?

    Watu wengi sana hawajui kuwa hawa funza (jiggers) wanatokana na viroboto (flea). Kwa hiyo ukisema funza wamepotea ina maana viroboto siku hizi hakuna. Kuenea kwa funza miguuni mara nyingi ni suala la uzembe tu. Hii hapa chi labda ni worst case ya kuwa na funza
  2. S

    KERO Hii Barabara ya Dodoma – Iringa ni hatari kwa usalama wa watu na vyombo vinavyopita

    Ninapopita hii barabara, kila ninapoingia shimo kwa nguvu nawatukana Mkuu wa Tanroads, kisha Waziri wa Ujenzi, Waziri wa Miundo Mbinu, halafu Mbunge wa sehemu nayopita, kisha Mameneja wa Tanroads wa Dodoma au Iringa. Karibu nitawaingiza viongozi wakuu. Ila uzuri nawatukana nikiwa mwenyewe kweye...
  3. S

    Kifo cha Sokoine: Watoto wake wataka mwili uchunguzwe kubaini kama alikufa kwa ajali au la!

    Mkwe wako Msuya alikuwa top adui wa Sokoine. In fact Sokoine alitaka awekwe ndani kwa ufisadi. Kama sio Nyerere mkwe wako angewekwa ndani. Nadhani kumridhisha Sokoine, Nyerere alikubali kumvua Msuya u-PM. Sasa hao ndio walikuwa aina ya watu Sokoine went after, kina Msuya, kina Kawawa, na...
  4. S

    Kifo cha Sokoine: Watoto wake wataka mwili uchunguzwe kubaini kama alikufa kwa ajali au la!

    Acha kuonyesha upumbavu wako. Watafute watoto wa Nyerere watakuambia ukweli
  5. S

    Kifo cha Sokoine: Watoto wake wataka mwili uchunguzwe kubaini kama alikufa kwa ajali au la!

    Kweli kabisa. Mshituko, na ukiwa na tatizo la BP na umri mkubwa ndio kabisa. Ila usisahau Sokoine alikuwa na miaka 45 tu, kijana bado si rahisi kufa kwa mshituko tu
  6. S

    Kifo cha Sokoine: Watoto wake wataka mwili uchunguzwe kubaini kama alikufa kwa ajali au la!

    Angalia hii picha. Gari imegongwa pembeni, Sokoine alikuwa kiti cha nyuma. Hakuna mtu mwingine kwenye gari hii alikufa ila Sokoine tu Ukiwa dereva maalum wa viongozi, ukaona gari inaingia barabarani bila tahadhari, hutagongwa squarely pembeni, utabalalizwa katika kuikwepa na labda mtaishia...
  7. S

    Kifo cha Sokoine: Watoto wake wataka mwili uchunguzwe kubaini kama alikufa kwa ajali au la!

    Sokoine hakukubali Rashidi alikuwa mwadilifu kiasi hicho. Na hata viongozi wengine maarufu wakati huo, kama Cleopa Msuya, Sokoine alimwambia Nyerere ni mafisadi wanatakiwa wawekwe ndani! Inasemekana Nyerere alichomkubalia ni kumwondoa Msuya kwenye UP, lakini sio kumweka ndani Kwa mfano...
  8. S

    Kifo cha Sokoine: Watoto wake wataka mwili uchunguzwe kubaini kama alikufa kwa ajali au la!

    Kuna sababu zilizofanya watu wamshuku Rashidi. Ni kweli Sokoine alimwona Rashidi kuwa nae ni fisadi tu, pamoja na Cleopa Msuya. Inasemekana wakati kina Rashidi wanalalamika sana kwa Nyerere dhidi ya Sokoine kwamba anapita kiasi, Nyerere aliwaambia sasa nyie pia si viongozi, kama mnaona anapita...
  9. S

    Kifo cha Sokoine: Watoto wake wataka mwili uchunguzwe kubaini kama alikufa kwa ajali au la!

    Wengi walishakufa. Wapo wachache bado wako hai. Mmoja yuko kaskazini huko.
  10. S

    Kifo cha Sokoine: Watoto wake wataka mwili uchunguzwe kubaini kama alikufa kwa ajali au la!

    Inategemea, kama ni customized zinakuwa salama kabisa.
  11. S

    Kifo cha Sokoine: Watoto wake wataka mwili uchunguzwe kubaini kama alikufa kwa ajali au la!

    Acha kupayuka. Nyerere hakuwa mkomunisti. Hujui hata maana ya mkomunist unakuja kupiga kelele hapa. Na kwa taarifa yako, kuna wakati wazee wa Dar es Salaam walimwambia Nyerere wampeleke Bagamoyo Mlingotini akafanyiwe "huduma" na wazee wa Bagamoyo, alikubali. Kwa hiyo Nyerere alikuwa na akili...
  12. S

    Kifo cha Sokoine: Watoto wake wataka mwili uchunguzwe kubaini kama alikufa kwa ajali au la!

    Mwaka huu kumekuwa na kumbikizi ya miaka 40 ya kifo cha Edward Sokoine, ambacho kiligubikwa na utata mkubwa, kukiwa na madai kwamba hakufa kwa ajali bali aliuwawa na watu ndani ya uongozi ambao walimwogopa sana. Huenda ni kweli, kwa sababu wakati fulani Sokoine alitaka kumweka nguvuni kiongozi...
  13. S

    Tetesi: Kumbe Nchimbi aligoma kuambatana kwenye ziara na Makonda?

    Kwanza tuambie ili tujue kama unachoandika kina ukweli. Wakati Makonda akiwa Katibu mwenezi, Nchimbi alikuwa nani ili aambatae na Makonda?
Back
Top Bottom