Ingekuwa paranoia angepiga marufuku pombe zote!
Lakini Rwanda wana record za wagonjwa wa pombe - watu waliokufa, waliopofuka, waliopelekwa hospitali kwa ajili ya kunywa pombe fulani. Sasa mnataka Kagame akae kimya tu kama chura kiziwi?
Na msisahau, Tanzania ilipiga marufuku pombe za vitoti...
Hapana, mie nataka tuelewane tu taratibu. Umesema, Biblia ikisema usizini ni kwa sababu haitaki watu kuzaa ovyo ovyo.
Ndio maana nikauliza, kwa hiyo kuzini na mwanamke ambae unajua hatazaa kwa sabau ameondoa kizazi sio tatizo Ki-Biblia? Sasa hapo nimerushaje missile? Nataka tu ufafanuzi wako
Ungekuwa na welewa wa kisomi ungetambua kwa jibu lako hili uneji-contradict tayari. Yaani wewe TLS akikuhoji unekwisha, Afadhali amhoji huyu Polisi aliekufa akafufuka kuja kutoa ushahidi!
Ni kweli Mkuu, inasikitisha sana. Hivi hawa watu wana tatizo gani? Nahisi tatizo lipo kwenye kichwa pale juu. Hakuna kiongozi yeyote wa chini, Mawaziri, Wakuu wa mikoa nk wanaomchukulia Samia seriously. Kila mtu anajifanyia anavyotaka, jambo kubwa kwao ni kuhakikisha munamsifia ili ubaki katika...
Hivi Mwendokasi umefanikiwa kupunguza msongamano?Nikienda Kimara kuleni vurugu tupu! Yaani badala ya kuboresha mfumo uliopo uwe effective, wanadakia mambo mengine Yasiyo na msingi. Mabasi ya mikoani ndio yanasababisha msongamano, sio malori yayanoingia mjini badala ya kuishia huko nje kwenye...
Chalamila anasema, ili kupunguza msongamano wa magari mjini, mabasi yaishie Magufuli stand, halafu wawe na shuttle za kupeleka watu mjini. Hivi mnamwelewa huyu bwana? Basi moja la abiria 45 likifika Magufuli stand litahitaji kwa wastani shuttle mbili ili kufikisha watu mjini. Sasa basi moja kwa...
Jana tena katika ajali ya basi na Aphard huko Moshi, msemaji wa Polisi anasema vikosi vya polisi na Zimamoto walifanikiwa kuzima moto. Nashindwa kujua hayo mafanikio wanayoyataja ikiwa hali ya basi lililoungua ni kama hapa chini. Kauli hizo ni sawa na zile nyingine kauli potoshaji za Polisi...
Mie siko chama chochote, na kama comments zangu nyingi unaona zimelalia kwenye chama kimoja basi ni kwa sababu chama hicho ndio kiko exposed katika kufanya makosa kwa sababu ya wigo wake wa utendaji. Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe.
Na siko kwenye chama chochote kwa sababu sitaki...
Unafikiri hao wasomi ni wanachama wa CCM kwa sababu sio wanachama wa vyama vya upinzani? Mimi ni msomi, lakini siko CCM wala upinzani. Sasa sijui conclusion yako umeipata wapi?
Na usisahau wasomi wengi walio CCM waliingia huko kama hongo; Wasira, Kitilya, Kafulira, Katambi nk, wote hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.