Watu wengi sana hawajui kuwa hawa funza (jiggers) wanatokana na viroboto (flea). Kwa hiyo ukisema funza wamepotea ina maana viroboto siku hizi hakuna.
Kuenea kwa funza miguuni mara nyingi ni suala la uzembe tu. Hii hapa chi labda ni worst case ya kuwa na funza
Ninapopita hii barabara, kila ninapoingia shimo kwa nguvu nawatukana Mkuu wa Tanroads, kisha Waziri wa Ujenzi, Waziri wa Miundo Mbinu, halafu Mbunge wa sehemu nayopita, kisha Mameneja wa Tanroads wa Dodoma au Iringa.
Karibu nitawaingiza viongozi wakuu. Ila uzuri nawatukana nikiwa mwenyewe kweye...
Mkwe wako Msuya alikuwa top adui wa Sokoine. In fact Sokoine alitaka awekwe ndani kwa ufisadi. Kama sio Nyerere mkwe wako angewekwa ndani. Nadhani kumridhisha Sokoine, Nyerere alikubali kumvua Msuya u-PM. Sasa hao ndio walikuwa aina ya watu Sokoine went after, kina Msuya, kina Kawawa, na...
Kweli kabisa. Mshituko, na ukiwa na tatizo la BP na umri mkubwa ndio kabisa. Ila usisahau Sokoine alikuwa na miaka 45 tu, kijana bado si rahisi kufa kwa mshituko tu
Angalia hii picha. Gari imegongwa pembeni, Sokoine alikuwa kiti cha nyuma. Hakuna mtu mwingine kwenye gari hii alikufa ila Sokoine tu
Ukiwa dereva maalum wa viongozi, ukaona gari inaingia barabarani bila tahadhari, hutagongwa squarely pembeni, utabalalizwa katika kuikwepa na labda mtaishia...
Sokoine hakukubali Rashidi alikuwa mwadilifu kiasi hicho.
Na hata viongozi wengine maarufu wakati huo, kama Cleopa Msuya, Sokoine alimwambia Nyerere ni mafisadi wanatakiwa wawekwe ndani! Inasemekana Nyerere alichomkubalia ni kumwondoa Msuya kwenye UP, lakini sio kumweka ndani
Kwa mfano...
Kuna sababu zilizofanya watu wamshuku Rashidi. Ni kweli Sokoine alimwona Rashidi kuwa nae ni fisadi tu, pamoja na Cleopa Msuya. Inasemekana wakati kina Rashidi wanalalamika sana kwa Nyerere dhidi ya Sokoine kwamba anapita kiasi, Nyerere aliwaambia sasa nyie pia si viongozi, kama mnaona anapita...
Acha kupayuka. Nyerere hakuwa mkomunisti. Hujui hata maana ya mkomunist unakuja kupiga kelele hapa. Na kwa taarifa yako, kuna wakati wazee wa Dar es Salaam walimwambia Nyerere wampeleke Bagamoyo Mlingotini akafanyiwe "huduma" na wazee wa Bagamoyo, alikubali. Kwa hiyo Nyerere alikuwa na akili...
Mwaka huu kumekuwa na kumbikizi ya miaka 40 ya kifo cha Edward Sokoine, ambacho kiligubikwa na utata mkubwa, kukiwa na madai kwamba hakufa kwa ajali bali aliuwawa na watu ndani ya uongozi ambao walimwogopa sana.
Huenda ni kweli, kwa sababu wakati fulani Sokoine alitaka kumweka nguvuni kiongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.