Wapo Mkuu, ila wanajitoa akili tu. Lakini pia maraisi wana tabia ya kujizungushia watu ambao hawawezi kujiongeza, ili waonekane wao ndio wenye akili na busara katika kundi walilo nalo. Ni sawa na mwanamke asie na sura nzuri kutotaka kuandamana na mwanamke mwenye sura nzuri.
Watu kama wewe ndio mliofanya Hitler awaze kwamba duniani tunahitaji kuua watu wote wenye IQ ndogo tutapunguza mambo mengi kama wizi, uzembe, ajali nk! Unaingizaje masuala ya kushobokea slave traders hapa?
Acha upumavu na ujinga. Nani amsemesa Samia hajasema ukweli kwamba Tanzania haina vikwazo? Sasa ukiwa mpumbavu usieelewa mambo, sio lazima uandike mambo ili ulimwengu wote ujue kwamba wewe ni mjinga na mpumbavu. Hili sio suala la kusema Samia haelewi kinachoendelea ndani ya JMT, na ulichoongea...
Mkuu Gentamycine, that was very wise of Kante!
In another story, there was this married woman that won a hefty lottery ticket, some million USD. The husband was clueless to this. Wanting to keep all the money and get her freedom as a rich woman, she filed for divorce. During the court...
Hujawahi kwenda hata Kenya, na sasa unajifanya unajua siasa za kimataifa? Endelea kuchangia changamoto za kwenye mtaa unakoishi, haya mambo ya kimataifa ni wazi you have no clue
Na nitakumbia wazimkitu kimoja -nina akili kuliko wasaidizi wa Samia. Hilo wala halina ubishi.
Basi hao wasaidizi ni vilaza sana! Kuna mambo ambayo lazima wangeandaa majibu; Sanctions za Urusi, Lissu, Utekaji na uuaji, Vikwazo vya EU na USA, October 29. Haya mengine ingekuwa ya ziada. Wangeandaa jibu hata la Abdul ni nani katika ziara yako!
Tatizo mara nyingine wanaogopa kumwambia ukweli!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.