Recent content by Synthesizer

  1. S

    JamiiForums Tanzania Mtanzania yeyote mwenye akili na uwezo wa kufikiri ataacha kunywa pombe zilizowekewa zuio kuuzwa Rwanda na serikali ya Kagame: kuna shaka ya madhara

    Ingekuwa paranoia angepiga marufuku pombe zote! Lakini Rwanda wana record za wagonjwa wa pombe - watu waliokufa, waliopofuka, waliopelekwa hospitali kwa ajili ya kunywa pombe fulani. Sasa mnataka Kagame akae kimya tu kama chura kiziwi? Na msisahau, Tanzania ilipiga marufuku pombe za vitoti...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Mtanzania yeyote mwenye akili na uwezo wa kufikiri ataacha kunywa pombe zilizowekewa zuio kuuzwa Rwanda na serikali ya Kagame: kuna shaka ya madhara

    Mkuu unafanyia kazi Konyagi? Maana unaongea kama vile ni Konyagi peke yake kaipiga stop
  3. S

    JamiiForums Tanzania Unaposoma bibilia tumia akili! 😎 Ona. 👇

    Hapana, mie nataka tuelewane tu taratibu. Umesema, Biblia ikisema usizini ni kwa sababu haitaki watu kuzaa ovyo ovyo. Ndio maana nikauliza, kwa hiyo kuzini na mwanamke ambae unajua hatazaa kwa sabau ameondoa kizazi sio tatizo Ki-Biblia? Sasa hapo nimerushaje missile? Nataka tu ufafanuzi wako
  4. S

    JamiiForums Tanzania Unaposoma bibilia tumia akili! 😎 Ona. 👇

    Ungekuwa na welewa wa kisomi ungetambua kwa jibu lako hili uneji-contradict tayari. Yaani wewe TLS akikuhoji unekwisha, Afadhali amhoji huyu Polisi aliekufa akafufuka kuja kutoa ushahidi!
  5. S

    JamiiForums Tanzania Unaposoma bibilia tumia akili! 😎 Ona. 👇

    Nikuulize swali maana naona umeamua kujiondoa akili. Vipi kuzini na mwanamke ambae ameondoa kizazi, Biblia inasema ni sawa?
  6. S

    JamiiForums Tanzania Simwelewi Chalamila; anapunguza msongamano wa mabasi kuingia mjini kwa wenye mabasi kununua shuttle za kuingiza abiria mjini; shuttle zitaruka hewani?

    Mkuu hata mie navuta, ila sijui ya kwake anaipata wapi? Labda anachanganya na mavi ya mjusi🤣
  7. S

    JamiiForums Tanzania Simwelewi Chalamila; anapunguza msongamano wa mabasi kuingia mjini kwa wenye mabasi kununua shuttle za kuingiza abiria mjini; shuttle zitaruka hewani?

    Inatakiwa uwe na raisi ambae hana sifa unazosema wanazo anaowateua ili kuweza kufanya hivyo!
  8. S

    JamiiForums Tanzania Simwelewi Chalamila; anapunguza msongamano wa mabasi kuingia mjini kwa wenye mabasi kununua shuttle za kuingiza abiria mjini; shuttle zitaruka hewani?

    Ni kweli Mkuu, inasikitisha sana. Hivi hawa watu wana tatizo gani? Nahisi tatizo lipo kwenye kichwa pale juu. Hakuna kiongozi yeyote wa chini, Mawaziri, Wakuu wa mikoa nk wanaomchukulia Samia seriously. Kila mtu anajifanyia anavyotaka, jambo kubwa kwao ni kuhakikisha munamsifia ili ubaki katika...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Simwelewi Chalamila; anapunguza msongamano wa mabasi kuingia mjini kwa wenye mabasi kununua shuttle za kuingiza abiria mjini; shuttle zitaruka hewani?

    Hivi Mwendokasi umefanikiwa kupunguza msongamano?Nikienda Kimara kuleni vurugu tupu! Yaani badala ya kuboresha mfumo uliopo uwe effective, wanadakia mambo mengine Yasiyo na msingi. Mabasi ya mikoani ndio yanasababisha msongamano, sio malori yayanoingia mjini badala ya kuishia huko nje kwenye...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Simwelewi Chalamila; anapunguza msongamano wa mabasi kuingia mjini kwa wenye mabasi kununua shuttle za kuingiza abiria mjini; shuttle zitaruka hewani?

    Chalamila anasema, ili kupunguza msongamano wa magari mjini, mabasi yaishie Magufuli stand, halafu wawe na shuttle za kupeleka watu mjini. Hivi mnamwelewa huyu bwana? Basi moja la abiria 45 likifika Magufuli stand litahitaji kwa wastani shuttle mbili ili kufikisha watu mjini. Sasa basi moja kwa...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Polisi na zimamoto wanaposema walifanikiwa kuzima moto wakati moto huo umeteketeza kabisa nyumba au gari, wana maana gani? Si moto ungezimika wenyewe?

    Jana tena katika ajali ya basi na Aphard huko Moshi, msemaji wa Polisi anasema vikosi vya polisi na Zimamoto walifanikiwa kuzima moto. Nashindwa kujua hayo mafanikio wanayoyataja ikiwa hali ya basi lililoungua ni kama hapa chini. Kauli hizo ni sawa na zile nyingine kauli potoshaji za Polisi...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Unadhani ni kwanini wasomi wengi nchini Tanzania, husita kujiunga na vyama vya siasa vya upinzani?

    Mie siko chama chochote, na kama comments zangu nyingi unaona zimelalia kwenye chama kimoja basi ni kwa sababu chama hicho ndio kiko exposed katika kufanya makosa kwa sababu ya wigo wake wa utendaji. Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe. Na siko kwenye chama chochote kwa sababu sitaki...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Unadhani ni kwanini wasomi wengi nchini Tanzania, husita kujiunga na vyama vya siasa vya upinzani?

    Unafikiri hao wasomi ni wanachama wa CCM kwa sababu sio wanachama wa vyama vya upinzani? Mimi ni msomi, lakini siko CCM wala upinzani. Sasa sijui conclusion yako umeipata wapi? Na usisahau wasomi wengi walio CCM waliingia huko kama hongo; Wasira, Kitilya, Kafulira, Katambi nk, wote hawa...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Wana Mbeya, tumkatae Mwabukusi, anatudharau sana

    Na wewe toka lini umekuwa Mnyakyusa wa Mbeya? Mie nakujua wewe kuwa mtu wa Zanzibar. Au umehamia Mbeya siku hizi?
Back
Top Bottom