Recent content by Synthesizer

  1. S

    Kilichonikuta kwa wasichana wa bar

    Hapo ndipo unapokutana na mstari utakaokambia hii ni hadithi ya uongo ya kutunga. Hata kama hiyo gari yako ni Bajaji, huwezi kumwambia mwanamke shuka usukume gari, hata Mkurya hafanyi hivyo kwa mwanamke
  2. S

    Hawa majambazi walijichanganya na hiki ndicho kilichowakuta

    Sidhani kama una story kamili. Hiyo haionyeshi kwamba ni taxi. Pili unapandaje taxi ina watu wengine? Taxi bubu?
  3. S

    Sitaki mfanyakazi wa ndani wa kike wala mdogo wake wa kike aje

    Inaonekana na huyo mdogo wake unamjua vizuri - ni mtu wa kukukubalia tu ujinga wowote utakaomwambia. Sasa nikuambie, siku zako za kuumbuka zinakaribia. Aibu kwa ukoo wako na ukoo wa mkeo. Umemtongoza shemeji yako kamwambia dada yake. Huenda huo ndio mwisho wa ndoa yako
  4. S

    Hivi hili suala la kuchinja kijamii limekaaje au nani katukaririsha ?

    Kama wewe muislamu na uko Ulaya endelea kula tu hivyo vibudu. Kwani vitakuua? Wenzio huku wanakula kiti moto itakuwa wewe kibudu tu?
  5. S

    Rais Samia Amlilia Mwanamke Wa Kwanza kusomea Shahada ya Sheria na Wa Kwanza Afrika Mashariki na Kati Kuwa Jaji wa Mahakama kuu

    Ni sawa, amepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha Julie Manning kama sisi tulivyopokea kwa masikitiko taarifa za vifo vya 29 October
  6. S

    Hivi hili suala la kuchinja kijamii limekaaje au nani katukaririsha ?

    Kama unafikiri mamlaka za Ulaya zinajali sana mambo ya Waislamu basi huwafahamu hao watu. Lasivyo wasingekuwa wanagombana nao kuhusu vilemba kichwani na kuvaa kininja. Wanawaona Waislamu wasumbufu tu wakati wameenda kwao kama wakimbizi
  7. S

    Hivi hili suala la kuchinja kijamii limekaaje au nani katukaririsha ?

    Hivi ukiwa Mkristo, mganga akakupa dawa kwa ajili ya tatizo lako, na akasema dawa hii sharti uinywe ukiwa umesimama mbele ya nyumba yako na kuupa mlango mgongo, utaikubali hiyo dawa? Utakuwa na sababu gani za kuikataa kama mkristo? Sasa tuje kuchinja. Unaambiwa ili ule huyu kuku, sharti...
  8. S

    Hivi hili suala la kuchinja kijamii limekaaje au nani katukaririsha ?

    It is just ku-save face kusema kuku walichinjwa Kiislamu, lakini wanajua wanakula hakuna cha halali au analala. Wewe watu wanataka kuchinja kuku 10,000 kwa siku unasema sijui mfanyeje? Ndio nasema labla ni kuelekeza mitambo ya kuchinjia direction fulani
  9. S

    Hivi hili suala la kuchinja kijamii limekaaje au nani katukaririsha ?

    As long as huko kuvumiliana hakuleti inconvenience kwangu, niko tayari. Msimamo wa UD pale ni safi sana, hamna kengele za kanisa wala salaasalaa asubuhi. Kimeharibika nini?
  10. S

    Hivi hili suala la kuchinja kijamii limekaaje au nani katukaririsha ?

    Anyone can print halal on the package. Unamwamini kafir kiasi hicho?
  11. S

    Kenya watangaza muandamo wa Mwezi Baada ya Mufti Mkuu kusema kuwa amewasiliana na Mufti wa Kenya mwezi haujaandama

    Kwa hili suala la mwezi na Idd, japo Waislamu wanasema hawaabudu sanamu, mie naona kama kuna kaharufu ka sanamu hapa - yaani mwezi ndio una determine suala kubwa kama hili? Mwezi is just a mound of rocks and dust. Nini unapewa umuhimu kiasi hiki, kwanini wasihesabu tu siku za kufunga? Tena hii...
  12. S

    Hivi hili suala la kuchinja kijamii limekaaje au nani katukaririsha ?

    Mie nina rafiki Waislamu,nimewalisha sana kuku nyumbani,na sijawahi kuona wamepata tatizo kwa kuwa nilichinja. Tena hawaulizi. Na vipi Ulaya huko wanakochinja kwa machine, Waislamu hawali?Au mashine zinageuziwa Mecca?
  13. S

    Tunaposema Shetani hana rafiki muwe mnaelewa, Mwangalieni Tulia Ackson kama Mfano kamili

    Ila Biteko walimuondoa ki-aina sana. Maana ukishakuwa naibu waziri mkuu au waziri mkuu, huwezi kuwa waziri tena, au hata balozi! Yeye alifikiri wanampandisha apande zaidi, kumbe wanampandisha aanguke zaidi. Hakuona kwa Mrema? Kumwondoa Mrema uwaziri nae walimfanya Naibu waziri mkuu. Akachekelea...
  14. S

    Kauli mbiu ya Rais gani iliwahi kufanikiwa hata kidogo tu?

    Kulikuwa na maraisi bwana, 1. Uhuru na kazi 2. Siasa ni Kilimo 3. Kilimo cha kufa na Kupona 5. Kazi ni uhai 6. Ubepari ni unyama 7. Elimu kwa wote (UPE)
  15. S

    Kauli mbiu ya Rais gani iliwahi kufanikiwa hata kidogo tu?

    5. Mimi Chura 6. Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake 7. Shoot to kill Au sio kauli mbiu hizo?:)
Back
Top Bottom