Maneno ya Wasira yameonyesha mambo matatu makubwa sana ambayo bila shaka si Watanzania walielewa mpango huu muovu wa CCM;
CCM hawako tayari Tanzania iwe na Katiba Mpya
CCM waliamua kutumia kisingizio cha Octoba 29 kama kizuizi cha kuwa na katiba mpya
CCM waliamua kumfukuza Nchimbi kwa sababu...
Nimeshangaa sana kuona leo hii Mwigulu Nchemba anasema waliompiga risasi Lissu walifanya hivyo ili ionekane serikali ilihusika.
Niwaambie ukweli wa siku ya tukio la Lissu kupigwa risasi. Wakati huo Mwigulu Nchemba alikuwa waziri wa mambo ya ndani. Mara tu baada ya Lissu kujeruhiwa kwa risasi...
Hapo ndipo nataka iwe mwisho wa mambo yote kwa call centre zote, iwe wana AI au hapana,kwa sababu hata AI ni programmed kwa mamatizo fulani, sio kila kitu
Kutukana ni jinai Mkuu, sio madai. Tena ukikiri au kuhukumiwa utakuwa na criminal record. Sio jambo dogo. Ikitokea hakikisha unayamaliza na huyo mtu pembeni ili usijiharibie. Utakataliwa visa kwa kitu cha kijinga kama hiki, au hata kazi uki-apply ukaulizwa una criminal record?
Tafadhali sana Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA), tunawaomba angalau mtupunguzie mojawapo ya kero nyingi sana katika nchi hii, kwamba unapopiga namba yeyote ya Customer Service, iwe ni kampuni za simu, mashirika ya umma, biashara, NGO nk, ili mradi iwe ni customer service, basi...
Hivi kuna ukweli katika maoni kwamba wanawake ambao wameolewa au waliwahi kuolewa wake wenza mara nyingi huwa na hasira kali sana ya kisasi? Inasemekana kadiri walivyokuwa chini kwenye uke wenza ndivyo wanavyokuwa na roho mbaya zaidi - yaani mke mwenza wa tatu mara nyingi atakuwa na hasira kali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.