Recent content by Synthesizer

  1. S

    JamiiForums Tanzania Sasa tumeelewa Nchimbi alisema Watanzania tupiganie Katiba baada ya kujua CCM wanatumia Octoba 29 kama kizuizi cha katiba mpya, wakamfukuza!

    CCM wanafanya kila kitu kinachofanya wastahili kupigwa!
  2. S

    JamiiForums Tanzania Sasa tumeelewa Nchimbi alisema Watanzania tupiganie Katiba baada ya kujua CCM wanatumia Octoba 29 kama kizuizi cha katiba mpya, wakamfukuza!

    Watanzania Tupiganie Katiba - dhidi ya CCM na serikali ya awamu ya 6!
  3. S

    JamiiForums Tanzania Sasa tumeelewa Nchimbi alisema Watanzania tupiganie Katiba baada ya kujua CCM wanatumia Octoba 29 kama kizuizi cha katiba mpya, wakamfukuza!

    Maneno ya Wasira yameonyesha mambo matatu makubwa sana ambayo bila shaka si Watanzania walielewa mpango huu muovu wa CCM; CCM hawako tayari Tanzania iwe na Katiba Mpya CCM waliamua kutumia kisingizio cha Octoba 29 kama kizuizi cha kuwa na katiba mpya CCM waliamua kumfukuza Nchimbi kwa sababu...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Mwigulu aje hapa akanushe kuwa Lissu alipopigwa risasi Magufuli hakumwambia atangaze serikali haihusiki akakataa kufanya hivyo na Magufuli akamchukia!

    Nimeshangaa sana kuona leo hii Mwigulu Nchemba anasema waliompiga risasi Lissu walifanya hivyo ili ionekane serikali ilihusika. Niwaambie ukweli wa siku ya tukio la Lissu kupigwa risasi. Wakati huo Mwigulu Nchemba alikuwa waziri wa mambo ya ndani. Mara tu baada ya Lissu kujeruhiwa kwa risasi...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Tafadhali sana Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) toeni agizo namba za customer service zote ziwe na option ya kuongea na mtoa huduma

    Hapo ndipo nataka iwe mwisho wa mambo yote kwa call centre zote, iwe wana AI au hapana,kwa sababu hata AI ni programmed kwa mamatizo fulani, sio kila kitu
  6. S

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu nilimtukana matusi ya nguoni tukiwa bar na nikiwa nimelewa, kanishtaki. Je, nina kesi ya kujibu?

    Kutukana ni jinai Mkuu, sio madai. Tena ukikiri au kuhukumiwa utakuwa na criminal record. Sio jambo dogo. Ikitokea hakikisha unayamaliza na huyo mtu pembeni ili usijiharibie. Utakataliwa visa kwa kitu cha kijinga kama hiki, au hata kazi uki-apply ukaulizwa una criminal record?
  7. S

    JamiiForums Tanzania Tafadhali sana Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) toeni agizo namba za customer service zote ziwe na option ya kuongea na mtoa huduma

    Tafadhali sana Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA), tunawaomba angalau mtupunguzie mojawapo ya kero nyingi sana katika nchi hii, kwamba unapopiga namba yeyote ya Customer Service, iwe ni kampuni za simu, mashirika ya umma, biashara, NGO nk, ili mradi iwe ni customer service, basi...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Kwa uovu ninaoufahamu wa hili genge la wahuni hawa, sintashangaa kusikia Dr. Nchimbi kafunguliwa kesi ya uhaini; hawana aibu!

    Sheria ya Presidential detention haijasema kuna mtu ambae hawezi kuwa detained
  9. S

    JamiiForums Tanzania Kwa uovu ninaoufahamu wa hili genge la wahuni hawa, sintashangaa kusikia Dr. Nchimbi kafunguliwa kesi ya uhaini; hawana aibu!

    Presidential detention siokushitaki. Unawekwa ndani bilakwenda mahakamani,kwa amri ya raisi. Haina kikomo
  10. S

    JamiiForums Tanzania Deogratius Ndejembi ateuliwa kuwa Makamu wa Rais

    Mmeelewa lakini? Yaani Samia akifa akiwa madarakani, huyu jamaa ndio atakuwa raisi wa Tanzania
  11. S

    JamiiForums Tanzania Deogratius Ndejembi ateuliwa kuwa Makamu wa Rais

  12. S

    JamiiForums Tanzania Deo Ndejembi kuwa Makamu wa Rais

    Yaani CCM wanatuambia ikitokea Samia anakufa akiwa raisi huyu jamaa ndio anakuwa raisi wa Tanzania, sivyo?
  13. S

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna ukweli kwamba mara nyingi wanawake walioolewa kama wake wenza wana hasira kali ya kisasi?

    Hivi kuna ukweli katika maoni kwamba wanawake ambao wameolewa au waliwahi kuolewa wake wenza mara nyingi huwa na hasira kali sana ya kisasi? Inasemekana kadiri walivyokuwa chini kwenye uke wenza ndivyo wanavyokuwa na roho mbaya zaidi - yaani mke mwenza wa tatu mara nyingi atakuwa na hasira kali...
Back
Top Bottom