Recent content by Synthesizer

  1. S

    JamiiForums Tanzania Kumbe Buza ni sehemu nzuri namna hii

    Mkuu, picha yako inaonyesha reli ya TAZARA, na leeway yake (eneo la reli) sio Buza. Umekosea kuweka picha?
  2. S

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    Alijibu kwa Kiswahili Mkuu, alikuwa na wigo mpana sana wa kujieleza
  3. S

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    Wapo Mkuu, ila wanajitoa akili tu. Lakini pia maraisi wana tabia ya kujizungushia watu ambao hawawezi kujiongeza, ili waonekane wao ndio wenye akili na busara katika kundi walilo nalo. Ni sawa na mwanamke asie na sura nzuri kutotaka kuandamana na mwanamke mwenye sura nzuri.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    Watu kama wewe ndio mliofanya Hitler awaze kwamba duniani tunahitaji kuua watu wote wenye IQ ndogo tutapunguza mambo mengi kama wizi, uzembe, ajali nk! Unaingizaje masuala ya kushobokea slave traders hapa?
  5. S

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    Kila mtu mwenye akili atakaesoma comment yako hii ataona ulivyo mpumbavu, maana mie sijasema popote Tanzania tumewekewa vikwazo. Umejitakia mwenyewe!
  6. S

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    Acha upumavu na ujinga. Nani amsemesa Samia hajasema ukweli kwamba Tanzania haina vikwazo? Sasa ukiwa mpumbavu usieelewa mambo, sio lazima uandike mambo ili ulimwengu wote ujue kwamba wewe ni mjinga na mpumbavu. Hili sio suala la kusema Samia haelewi kinachoendelea ndani ya JMT, na ulichoongea...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Kwa Ujanja na umakini huu wa Kimafia alioufanya Mchezaji Ngolo Kante kwa Mkewe aliyekuwa na Tamaa za Mali zake naomba Wanaume wengine muuige upesi

    Mkuu Gentamycine, that was very wise of Kante! In another story, there was this married woman that won a hefty lottery ticket, some million USD. The husband was clueless to this. Wanting to keep all the money and get her freedom as a rich woman, she filed for divorce. During the court...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    I can tell an idiot when I read what he has written!
  9. S

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    Very, very very muhimu! Kuna watu wanadhani kuwa kiongozi wa Tanzania ni suala la kujua jinsi ya kuwakebehi vyama vya upinzani.
  10. S

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    Ajabu ni kwamba, nilipokuwa nakujibu niliwaza hivyo hivyo juu yako. What a coincidence!
  11. S

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    Yaani bila kuandaliwa jibu kajitahidi sana, hilo nakiri kabisa Mkuu! 😂
  12. S

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    Hujawahi kwenda hata Kenya, na sasa unajifanya unajua siasa za kimataifa? Endelea kuchangia changamoto za kwenye mtaa unakoishi, haya mambo ya kimataifa ni wazi you have no clue Na nitakumbia wazimkitu kimoja -nina akili kuliko wasaidizi wa Samia. Hilo wala halina ubishi.
  13. S

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    Hilo nijibu namtazamo au maoni yanayopaswa kutolewa na Baba Levo au labda Msukuma. Ni wazi huelewi maana ya "hatufungamani na nchi yeyote"
  14. S

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    Wrong! Kutofungamana na upande wowote haina maana nchi fulani ikiwekewa vikwazo wewe haikuhusu kwa sababu una sera za kutofungamana na upande wowote!
  15. S

    JamiiForums Tanzania Sababu kwanini jibu alilotoa Rais Samia kuhusu sanctions sio sahihi na alipaswa kujibu namna hii. Washauri hawakumwandaa?

    Basi hao wasaidizi ni vilaza sana! Kuna mambo ambayo lazima wangeandaa majibu; Sanctions za Urusi, Lissu, Utekaji na uuaji, Vikwazo vya EU na USA, October 29. Haya mengine ingekuwa ya ziada. Wangeandaa jibu hata la Abdul ni nani katika ziara yako! Tatizo mara nyingine wanaogopa kumwambia ukweli!
Back
Top Bottom