Recent content by SyntaxReaper

  1. SyntaxReaper

    Kwanini Ufugaji wa Nguruwe Unaweza Kuwa Utajiri Mkubwa?

    Mkuu sio kwamba wanaliwa sana ndio maana wanazidiwa idadi na ng'ombe🤣
  2. SyntaxReaper

    Huduma ya Web Design

    Nmechek chap responsiveness iko poa sana kwenye simu pia navigation,iko poa kwa upande wangu mkuu,kila.la kheri.
  3. SyntaxReaper

    Huduma ya Web Design

    Sample ingine hiyo
  4. SyntaxReaper

    Huduma ya Web Design

    Habari zenu wadau Natoa huduma za kudesign website kwa gharama ndogo tu ya tsh 200,000. Kwa mawasiliano zaidi njoo PM Location nipo Dar-es-salaam na Kilimanjaro. Kwenye attachment ni sample ya simple website ambayo iko offline.
  5. SyntaxReaper

    Utajiri uliojificha kwenye viatu vya mtumba

    wakuu naomba connection ya wafungua belo viatu vya mtumba pale memorial, moshi
  6. SyntaxReaper

    Naomba wenye uzoefu na biashara ya kupoint viatu Karume saa kumi wanipe abc nataka kuanza hii biashara

    wakuu mimi naomba connection ya viatu vya mtumba memorial, hasa mtu anayefungua belo
  7. SyntaxReaper

    Natafuta marafiki wanaofanya biashara ya viatu vya mtumba

    nataka nifanye hii mwezi march,nataka nichukulie memorial,moshi,mwenye uzofu na memorial naomba hints.
  8. SyntaxReaper

    Naomba kupata elimu kuhusu ufugaji wa kuku wa kienyeji

    Zingatia 1.chanjo kwa wakati 2. Usafi wa mazingira unayofugia 3. Gharama(bora ukatengeneza formula yako mwnywe ya chakula na ukawalisha kuendana na idadi yao)
  9. SyntaxReaper

    Natafuta marafiki wanaofanya biashara ya viatu vya mtumba

    Mimi nimeanza hii biz mkuu,nachukulia mzigo memorial
  10. SyntaxReaper

    Tunatoa maadili kutoka kwenye Biblia? Kama Ni kweli, Mbona Mungu Hana Maadili?

    Alimfavor Yakobo ambaye aliiba haki ya mzaliwa wa kwanza ya Esau lkn eti tunaambiwa usiibe Yakobo huyohuyo alimcheat anko wake Labani akachukua utajiri wake huku akicngizia ni baraka za Mungu[emoji38]
  11. SyntaxReaper

    Tunatoa maadili kutoka kwenye Biblia? Kama Ni kweli, Mbona Mungu Hana Maadili?

    Sio xx tu,incest kbs ya lutu na Binti zake
  12. SyntaxReaper

    Dark days 17/03/20

    Itoshe kuamini kuwa Mungu yupo lkn unakosea sn kutumia dini zilizoletwa na wageni km utambulisho wako mkuu.
  13. SyntaxReaper

    Dark days 17/03/20

    Bdo Kuna watu wanajitambulisha kwa kigezo Cha dini tulizoletewa na wageni kwa lengo la kuutawala na kutugawa!?sad.
  14. SyntaxReaper

    Tracking namba za simu

    Namdai pesa ndugu
Back
Top Bottom