:A S 2152:
:A S 2152:Tehe tehe tehe....! wakati chadema wanatumia nguvu nyingi kuitafuta nafasi ya kuingia Ikulu basi CCM wanacheza na Pychology na kutumia akili kuwa maliza
nitawatumia na maswali pia ambayo mara nyingi yanaulizwa na panel za interview mbalimbali ambayo mm ndo yamenitoa na sikuwa na mtu yeyote wa kunishika mkono
:help:
:help:Siyo kweli Watu wengi wa Vyuo hivyo wanafanya kazi tayari nikiwepo mm, cha msingi muombe mungu atafanya tu na usikate tama endelea kusambaza Cv yako ila jaribu kuwashirikisha watu hasa hasa waonahusika na Recruitment watakuambia Cv yenye mvuto inakuwaje, pia ujue km unatuma...
Acheni malumbano ya vyuo nyie,mbona hamjielewi kabisa chuo hakimbebi mtu hata siku moja mm nimesoma mzumbe secondary ambayo wengine wasio na uelewa walikuwa wanasherekea kuchaguliwa shule yenye jina kubwa wakasahau kujibidisha ktk masoma leo hii hata ualimu wa shule ya msingi hawana,nimesoma...
Labda angefafanua zaidi kwani mimi ni miongoni mwa wanafunzi wa Udom niliye hitimu mwaka jana mwezi wa sita Project planning & Management nimemaliza tu nikafanya application na kupata kazi haraka na mpaka nikawa nachagua kampuni la kufanya nao kazi mpaka sasa nina mwaka kazini nakula matunda ya...
:kev:Tufike mahari tubadilike mambo ya kusema baadhi ya kada watu wanapangiwa kazi moja kwa moja yanatakiwa kuisha ili tuwe na watu ambao kweli wameiva ktk sector mbalimbali lazima wafanyiwe usaili kwani mkumbuke kwamba sio wote wanao maliza masomo ktk kada husika wanakuwa wamekamilika wengine...
:kev:Km ni hivyo Basi Taasisi zote wangekuwa wanafanya kazi hao waliosoma hapo lakini cha Ajabu wanauza sura tu mtaani lakini sisi tuliosoma hivyo vyuo ambazo tulikuwa tunapoteza muda tayari tunafanya kazi tena TCU na km issue ni chuo njooni nanyi mfanyekazi
Huu ni ukweli uliotukuka,kwa mfano hata hapa tz mtu anasoma international relation alafu ktk soko la ajira inakuwa issue yaani hata pa kufanyia field tu ni full utata!
Lakini mkuu huo mshahara sio mdogo isitoshe haohao unaosema wa BAF wapo mtaani hata laki hawaioni kwahiyo mwenye vigezo aende tu,ingekuwa wanatafuta mtu wa Planning mimi ningeapplay haraka sana ingawa nipo kazini tayari!
Mkuu hawa Barlclays wamechoka kinoma ata hawajielewi na huduma zao ndio maana mwaka jana walifunga matawi zaidi ya kumi,na hii inasababishwa na kuwa na Mkurugenzi mbovu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.