Recent content by swiish

  1. swiish

    Wamiliki wa Mabasi ya Dar Lux, ujumbe wenu huu

    Kampuni zenye ubora kwa sasa route ya Dar/Mwanza Ni Happy Nation.
  2. swiish

    Sauli Luxury Bus njia ya Mbeya naona ndio mfalme mpya Newforce hoi

    Sauli ana bus 3,2 ni scania gemilang DRH na DPN moja ni mercedez benz DPC Bus zote hizo ni masaa yakuotea mbali[emoji91][emoji91][emoji91][emoji1487] Sent from my iPhone using JamiiForums
  3. swiish

    Hivi bank bora na kubwa Kati ya CRDB na NMB hapa Tanzania ni ipi?

    NMB ni bank bora kwangu kwa sasa,crdb wana vimakato vingi vingi visivyoeleweka. Sent from my iPhone using JamiiForums
  4. swiish

    Kusafirisha mzigo Kahama

    Nenda ofisi za darlux shekilango. Sent from my iPhone using JamiiForums
  5. swiish

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mwaka 2016 nikiwa nasoma chuo flan jijini Dar Mazoea ya hapa na pale na demu wa rafiki yangu,si nikamtania shem unaonekana unajua sana kupika,shem akafrahi mwenyewe na kuitikia nitakuja siku moja kukupikia uonje kazi ya mikono yangu,kwani unakaa na nani?nikaitikia naishi mwenyewe kipindi hicho...
  6. swiish

    Kula tende na nanasi kabla ya tendo, then ingia mzigoni kisha njoo hapa unishukuru

    tende kilo moja[emoji848] Sent from my iPhone using JamiiForums
Back
Top Bottom