Recent content by Swelana

  1. S

    Uchaguzi 2020 Hatimaye Wabunge 19 wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

    Wadau, Ni vema tuangalie upande mwingine wa shilingi, haiwezekani mdee kutisha na kuamrishwa kufanya Yale watakayo na watu wa maagizo kutoka juu? Kwani mpaka sasa hawa wamama wako wapi? Wanafanya nini? Je wanaonana na familia zao? Kwa jinsi nilivyomjua Halima sauti ya zege, asingeweza kujitosa...
  2. S

    Uchaguzi 2020 Sitamchagua Magufuli na wala Sitapiga kura kwa CCM mwaka 2020

    Ni binadamu mwenye roho mbaya sana,hajali wananchi wake, Hatumtaki tena kwani kama ametutendea mabaya mengi miaka 5 iliyopita itakuaje kama akipewa nafasi nyingine? Ndugu watanzania wenzangu,magufuli si mtanzania kiasili hivyo amebeba roho ya mauaji na ni ngumu kiuiacha maana ameaha irithi...
  3. S

    Uchaguzi 2020 Bernard Membe tulimjua tangu awali. Hatusumbui, Mabadiliko ni lazima mwaka huu!

    Tatizo la Act lipo Kwa zitto,hii mission yote anaijua vzr na wala kutoka moyoni hafurahishwi lisu kuwa raisi,zitto ni mnafiki na anajua kinachofanyika Kwa membe toka siku ya kwanza membe kujiunga naye,hata membe kutumwa kuja Act kuibomoa chadema ni mission za zitto.
  4. S

    Mnyika kuongoza maandamano ya amani

    Uzuri tushakufahamu,AKILI HUNA.!
  5. S

    VIDEO: Kada wa CCM amrushia Tundu Lissu jiwe wakati akisalimia wana Bukoba mbele ya jengo la CCM Bukoba, Lissu alazimika kurudi ndani ya gari

    Kwani nini ofisi hiyo ya ccm jilani wasingeipiga kiberiti mpaka wamtoe aliyerusha jiwe,tufike mahali tujibu mapigo,ilitakiwa kuteketezwa.
  6. S

    Uchaguzi 2020 Zitto Kabwe: Oktoba 3 tutatangaza Mgombea wa Urais atakayewakilisha Upinzani

    Mnapenda kukopi vya watu pimbi nyinyi,slogan ya upinzani unaipachka Kwa mashetani.
  7. S

    Ujenzi wa Bomba la Mafuta: Ziara ya Rais Museveni nchini Tanzania - Septemba 13, 2020

    We si ndio shoga yake,?hatulitaki uaji hilo,bora liteketee.
  8. S

    Uchaguzi 2020 Gwajima, dharau hizi hutafika popote

    Unamzungumzia gwajima Mzee wa porn movies,anawadhalilisha wanawake,anawafanya huku akichukua video,yule ni shetani wa ngono hata usihangaike naye.
  9. S

    Ujenzi wa Bomba la Mafuta: Ziara ya Rais Museveni nchini Tanzania - Septemba 13, 2020

    Kaliumbua jiwe,hakuna MTU muongo sana duniani kama magufuli,ndio maana hatumtaki kwanza uaji na Lina sura mbaya na roho yake mbaya.
  10. S

    Ubalozi wa Ufaransa wafuta matangazo ya Magufuli!

    Hatumtaki magufuli ni muuaji,ana sura mbaya na roho mbaya.
  11. S

    Tundu Lissu kwa hili la kampuni ya Total, Lema na Sugu wamekudanganya usiwasikilize tena

    We jitekenye tu,sisi wananchi asilimia kubwa hatumtaki dikteta,muuaji,na rohi mbaya,safari hii shilingi itasimama,na sura yake mbaya km anavyojijua mwenyewe kama roho yake,muuaji mkubwa.
Back
Top Bottom