Wadau, Ni vema tuangalie upande mwingine wa shilingi, haiwezekani mdee kutisha na kuamrishwa kufanya Yale watakayo na watu wa maagizo kutoka juu?
Kwani mpaka sasa hawa wamama wako wapi? Wanafanya nini? Je wanaonana na familia zao?
Kwa jinsi nilivyomjua Halima sauti ya zege, asingeweza kujitosa...
Ni binadamu mwenye roho mbaya sana,hajali wananchi wake,
Hatumtaki tena kwani kama ametutendea mabaya mengi miaka 5 iliyopita itakuaje kama akipewa nafasi nyingine?
Ndugu watanzania wenzangu,magufuli si mtanzania kiasili hivyo amebeba roho ya mauaji na ni ngumu kiuiacha maana ameaha irithi...
Tatizo la Act lipo Kwa zitto,hii mission yote anaijua vzr na wala kutoka moyoni hafurahishwi lisu kuwa raisi,zitto ni mnafiki na anajua kinachofanyika Kwa membe toka siku ya kwanza membe kujiunga naye,hata membe kutumwa kuja Act kuibomoa chadema ni mission za zitto.
We jitekenye tu,sisi wananchi asilimia kubwa hatumtaki dikteta,muuaji,na rohi mbaya,safari hii shilingi itasimama,na sura yake mbaya km anavyojijua mwenyewe kama roho yake,muuaji mkubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.