Too sad nimeiona hii habari ila natamani kujua zaidi hata toka kwa wanufunzi waliokuwepo ilikuwaje dah huyu ni pepo na ukiuwa kwa upanga nawe utauliwa kwa upanga. Na kuna picha niliona baba kashikwa na askari kupewa msaada wa kutembea kashika vitabu analia kwa uchungu nahic na mzazi wa mtoto...
Umenishangaza sana tena utuombe radhi umetizalilisha mnooo huyo dem wako wa kuokota ndo utufanye wote tunafanana? Na inaelekea ulimnunua unashindwa tu kusema usafi ni tabia ya mtu na kama ulimpenda sana kama ulivyosema ungemrekebisha ikibidi uchukue maji umsafishe kabla hanjaanza kudinyana eeeh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.