Recent content by sweetstone

  1. sweetstone

    Pata laini ya Uwakala wa M-pesa ikiwa kwa Jina lako kwa Tshs 150,000/= tu

    Mmmh napata wasiwasi nachojua ni laki5 na uende kwa wahusika c uchochoroni
  2. sweetstone

    Matumizi na Faida za Asali katika afya ya binadamu

    Ha haaaaa somo lomekoleaaa
  3. sweetstone

    Matumizi na Faida za Asali katika afya ya binadamu

    Mara nyingi wauzaji wanajua ila wengine wanaweza kukudanganya bt kama unamtu tabora huko ndo kwenyewe
  4. sweetstone

    Ticha amchinja mwanafunzi

    Bangi zinakusumbua na upuuzi wako we nawe wale wale shame on u kufa wewe basi?
  5. sweetstone

    Ticha amchinja mwanafunzi

    Bado labda leo twaweza pata taarifa zaidi
  6. sweetstone

    Ticha amchinja mwanafunzi

    Tena kifo cha matesooo mnoooo more than soo sad
  7. sweetstone

    Ticha amchinja mwanafunzi

    Too sad nimeiona hii habari ila natamani kujua zaidi hata toka kwa wanufunzi waliokuwepo ilikuwaje dah huyu ni pepo na ukiuwa kwa upanga nawe utauliwa kwa upanga. Na kuna picha niliona baba kashikwa na askari kupewa msaada wa kutembea kashika vitabu analia kwa uchungu nahic na mzazi wa mtoto...
  8. sweetstone

    Mabinti wa siku hizi wachafu tu

    Ha haaaaa ahsante mkuuu
  9. sweetstone

    Mabinti wa siku hizi wachafu tu

    Ni kweli kabisa mdau
  10. sweetstone

    Mabinti wa siku hizi wachafu tu

    Umenishangaza sana tena utuombe radhi umetizalilisha mnooo huyo dem wako wa kuokota ndo utufanye wote tunafanana? Na inaelekea ulimnunua unashindwa tu kusema usafi ni tabia ya mtu na kama ulimpenda sana kama ulivyosema ungemrekebisha ikibidi uchukue maji umsafishe kabla hanjaanza kudinyana eeeh...
  11. sweetstone

    Mimi niliachwa hivi wewe uliachwa vipi?

    Ha haaaa we kibokooo safi sana yakomeeee
  12. sweetstone

    Nawaza Tu: Ukimpata mpenzi wa hivi

    He heee jamani tupooo hata zaidi ya hapo ila it's true wanaume hamtabiriki ni wachache wanaheshim
  13. sweetstone

    Mwanamke hupendelea kushikwa wapi ili asisimke kimapenzi

    Bora umekiona hiloo kachanganya madawa hata ham ya kichangia imeishaaa
  14. sweetstone

    AIRTEL, VODA Mkome kudhalilisha dada zetu..!

    Hata tigo huwa wanafanya hivi
Back
Top Bottom