Recent content by sweetlady

  1. sweetlady

    Dr Kigwangala aanza kusaka ajira mbadala ya Ubunge

    Inashangaza sana 😂😂😂
  2. sweetlady

    Dr Kigwangala aanza kusaka ajira mbadala ya Ubunge

    Wanasiasa ni waogo sana...
  3. sweetlady

    Dr Kigwangala aanza kusaka ajira mbadala ya Ubunge

    Kwani si huwa ana mifugo huyu? Hawezi kujiajiri mwenyewe mpk aajiriwe? Akamue maziwa auze aache kutegemea ajira
  4. sweetlady

    Mkuu wa Wanamtandao Rostam Azizi aweka mpira kwapani, Hajaonekana Azam TV kama ilivyotangazwa, kaogopa nini?

    Sio media tu, tungehamasishana watanzania tususue bidhaa zao zote wajinga hawa... hawawezi kutuletea kipindi maalumu cha fisadi papa aje ambagaze Polepole afu tuwakalie kimya... kwanza hao Azam wapuuzi tu, walitaka kumuhoji Rostam kama nani? Ni mgombea? Shobo tu zilikuwa zinawasumbua ila raia wa...
  5. sweetlady

    Mkuu wa Wanamtandao Rostam Azizi aweka mpira kwapani, Hajaonekana Azam TV kama ilivyotangazwa, kaogopa nini?

    Tena tunatupa na mitungi yake kabisa... tumechoka kunufaisha mafisadi
  6. sweetlady

    Mkuu wa Wanamtandao Rostam Azizi aweka mpira kwapani, Hajaonekana Azam TV kama ilivyotangazwa, kaogopa nini?

    Ni vigezo gani vimetumika yeye kuwa huko? Yupo kama mkimbizi wa kisiasa au ? Ufafanuzi kidogo
  7. sweetlady

    Ilikuwa tarehe kama ya leo january 2011

    Thank you sana... I'm happy kurejea tena pia 💃💃💃
  8. sweetlady

    I Miss you Husninyo

    Madame you are missed jamn
  9. sweetlady

    I Miss you Husninyo

    Hahahahah... sasa nimerejea rasmi nyumbani baba kipenzi... natamani utukusanye mabinti zako wote kama zamani
  10. sweetlady

    Ilikuwa tarehe kama ya leo january 2011

    Umemisika more dear... ila mtoto wa kirombo umenisingizia ... 🙄
  11. sweetlady

    I Miss you Husninyo

    🤣🤣🤣🤣
  12. sweetlady

    I Miss you Husninyo

    Ukistuliwa unistue na mimi pia... Popo mwenzetu those days 🤣🤣🤣
  13. sweetlady

    I Miss you Husninyo

    Lovely dad... kwanza nimekununia ... hivi ndio mabinti zako wote ulitususa namna hii au ni mimi peke yangu?😒😒😒.... Hii kesi ni kubwa sana , labda uje na mashahidi wa siri ndio tutaimaliza... CC: Husninyo aione kwenye file
  14. sweetlady

    I Miss you Husninyo

    Hahahaha, swahiba mwenyewe nilijua file lipo mezani kwako jioni tulipitie
Back
Top Bottom