TIBA
kupata dawa yenye kutibu na kurudisha virutubisho vyote vilivyopotea na kisha kukinga mwili wako kutopata maambukizi hayo tena, dawa za kampuni ya neolife ni suluhisho, kwa maswali au kupata tiba wasiliana kwa namba 0759137319 au 0692408039 au nifate pm
PID maambukizo kwenye via vya uzazi, maambukizi haya yanasababishwa na vimelea aina ya NEISSERIA, GONORHOEA, CHLAMYDIA, TRACHOMATIS ndivyo vinavyoongoza kusababisha PID kwa wanawake.
NJIA ZINAZOSABABISHA PID;
1.kutoa mimba(abortion)
2.matumizi ya njia za uzazi wa mpango kama vidonge, kondom...
FAIDA ZA NEOLIFESHAKE
-kupunguza uzito na kulinda moyo
-inapunguza mafuta na ukubwa wa mwili
-inapunguza kipimo cha mwili
-kulinganisha urefu na uzito (body mass index)
Epuka nyama uzembe, uzito na kitambi kwa kutumia neolifeshake iliyo katika ladha tofauti yaan vanilla, chocolate na strawberry,,,, kwa mawasiliano zaidi na jinsi ya kupata bidhaa 0759137319 au 0692408039.
Baki na ATM card yako, kwa mapenzi zaidi acha pesa ya chakula kila siku halafu mara moja moja ama siku moja ktk wiki unampa pesa yake binafsi akajinunulie chochote sio sawa mpaka akuombe ombe utaona kero japo waweza usimuoneshee kuwa kwako ni kero,, lakini pia maisha kusaidiana mfungulie...
hujaambiwa utoe pesa hovyo, unaempa ni mtu wako so utaweza kuona ama kufahamu kiurahisi kwamba yuko timamu ktk matumizi ya pesa ama ni sifuri USIMPE TENAAAA,, ni uamuzi wako
Tangu mwanzo mwanaume ndie mtafutaji na kumtunza mwanamke, asipokuomba wewe ataenda kuomba pengine, mpaka hapo you are already a loser ,,, na asipokuomba ukaona ndo vizuri still you are a big loser kwasababu ataishi na wewe but kwake utakua kama picha tu no love
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.