Alikuwa kwako ila hakuwa wako.. Hapo ulikwa unaliwa timing tuu yaani ulikuwa kama chanzo flani hivi kajishikiza kwa malengo yake alikuwa anakula na kipofu sasa kashiba mwache aende vinginevyo utakuja jutia zaidi ndo maisha babuu...
Usitengeneze hoja ya kuhalisha madudu yanayofanywa na [emoji482][emoji481] kumbuka haya hayasemwi kufurahisha unati bali kuuonyesha umma jinsi serikali hewa inavofanya vitu kihewa hewa... Na hii inabaki mioyoni mwa raia 2020 labda utakuwa na jibu lililonyooka.. Alisema ukivurunda ukatumbuliwa...
Kwa jinsi hii nchi inavyo pelekwa pelekwa na hawa waliofikia mwisho wa ushika Dola via Polisisiemu.. laiti hii nchi ilipofikia sasa ingekua ni hiace nimepanda ningeomba kushukia njiani cz tunapoelekea.. only God knows.. Viva Ukawa..
Mtu hana hata jiwe wapiga ka umekamata akishababu.. Pole...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.