Recent content by Sweetbert da Sucre

  1. S

    Tunakusanya Kero ambazo ungependa zisemewe Bungeni na Nje ya Bunge na Viongozi wa CHADEMA

    Mimi nina kero kadhaa kama ifuatavyo.. 1.Kuna shule nyingi ambazo zinajulikana kama shule za umoja wa wazazi wa ccm... Shule hizi nyingi zinaendeshwa kwa ada za wanafunzi bila kupata msaada/ruzuku yeyote kutoka au serikalini au kwenye chama,lakini cha ajabu makusanyo ya ada yanaponoga...
  2. S

    Kufanya mapenzi sehemu hatarishi

    Cdhani kama jambo hili linagusa wengi,labda ni -watu wachache,nafikiri tuzungumzie yale yanayogusa watu wengi lakini si watu tu,ila ni +watu...
  3. S

    Zanzibar hakukaliki; siri nzito yafichuka fedha zatoka Oman na Uingereza

    Labda muungano ni muhimu,lakini nafikiri si wa lazima kiasi cha kutupasa kuutetea hata kwa ghalama ya kumwaga damu kama dalili zinavyoonesha.Lakini pia tusizipe dalili hizi jina jingine labda na zuri zaidi ya jina lake halisi la "DALILI ZA VITA"
  4. S

    Mafuta ya taa.

    Pole nadhani we' c sehemu ya M4C (hautaki walao kubadilika),kukubali kwamba ccm wanatuumiza,na kwa 7bu hiyo unawakwaza wanaoitakia mema nchi. Keep mum kama hauna cha kuongea,pia ni busara. I hope u don' mind,hey....
Back
Top Bottom