Baada ya mafuta ya taa kuadimika,jana nime yakuta kwa bei ya TSHS.2700/Litre.LAKINI rangi yake ni Blue,je nikwa nini?mwenye taarifa anijuze.mimi nipo mbozi mbeya.
Baada ya mafuta ya taa kuadimika,jana nime yakuta kwa bei ya TSHS.2700/Litre.LAKINI rangi yake ni Blue,je nikwa nini?mwenye taarifa anijuze.mimi nipo mbozi mbeya.
Pole nadhani we' c sehemu ya M4C (hautaki walao kubadilika),kukubali kwamba ccm wanatuumiza,na kwa 7bu hiyo unawakwaza wanaoitakia mema nchi.
Keep mum kama hauna cha kuongea,pia ni busara.
I hope u don' mind,hey....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.