Muandishi wa makala hii usimdaganye Rais wetu kuhusu tamko la AU.Nami namuomba Rais wetu kwamba tenda kwa akili kwa maana ya hekima na maarifa upate majibu sahihi.Huyu aliyeleta mada nina wasiwasi naye kwamba anataka ubebe ushauri wake ili matokeo yakitoka ushindwe!!,unawezaje kutolea mfano kwa...
Uchawi huo maana imeandikwa usimwanamke mchawi kuishi na pia imeandikwa Hapana uganga wala uchawi juu ya Yakobo.!!;maneno hayo ya Mungu yawe halisi kwako wewe uliyepost ujumbe huo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo yako yote yamekaa kisiasa zaidi.Ukisoma kwa makini utagundua hilo na wala haliitaji elimu.Nikuulize ni nchi gani iliyofanikiwa bila kufuata sheria za nchi ikiwa pamoja na katiba iliweza kuendelea.?.Mpango yuko sahihi kabisa maana anafuata sheria zilizotungwa na bunge na mkuu wa mkoa...
Sio kwamba sijakuelewa bali hata nikikuelewesha bado utatumia akili zako kutafuta majibu!:Ndio maana nimekujibu kwa ufupi kwamba ili uijue biblia omba roho mtakatifu akufumdishe utaielewa vizuri!,Kwa ufupi ni roho mtakatifu afundishaye kila anayeitaji kujifunza biblia si mwanadamu maana...
Ukitumia akili zako kuisoma biblia hakika hutaielewa biblia.Jitaidi sana uombe roho mtakatifu akufundishe akuonyeshe na akupe tafsiri ya yalioandikwa kwenye biblia.Mwisho biblia ujue imeandikwa kwa kuongozwa na roho mtakatifu,kuna maono kwenye biblia hivyo ni ngumu kutumia akili zako kuielewa...
Shida na wewe mtoa mada biblia bado hujaielewa na tafisiri ndio shida kwako',mfano ukisoma mathayo 4:1-11 ni kweli alifunga siku 40 lkn Yohana 2:1haisemi siku tatu baada ya kubatizwa yesu alikuwa kwenye harusi ya Cana!!bali inasema na siku ya tatu palikuwa na harusi huko Cana(kana)na mama yake...
srmbarack,
Kuna tatizo la kupeleka jina Brela mwisho wa siku unakuta jina ulilopeleka limeuzwa. Hii imekaaje kisheria maana mimi nilipeleka jina la Biko ambalo ni kiunganishi cha jina la baba matokeo baada ya miezi kama 2 nikakuta limeuzwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.