Magufuli anaifahamu NEMC vizuri na alichosema kilikuwa sahihi kabisa. Ndio maana Naibu Waziri alifika eneo la tukio na kuweka mambo sawa na kuonyesha sababu zinazopelekea NEMC kushindwa kuapprove EIA kwa baadhi ya miradi kwa wakati
Hoja hapa ni kwamba Naibu Waziri na Mkuu wa Mkoa hawakumpinga Rais kuwa cheti hakikuchelewa kutoka kama ambavyo mwandishi anavyoshawishi bali walieleza sababu za kuchelewa kutoka Cheti cha EIA ambacho NEMC ndio taasisi husika
Heading ya hii habari imejaa uchochezi na inalenga kusababisha mgongano baina ya Rais na Mteule wake kwa maslahi ya mwandishi na wengine wenye malengo ya aina hiyo.
Haiingii akilini kwa mtu yeyote kuamini kwamba mtu aliyetumwa kazi maalum na Rais ambaye kabla ya kutoa maelekezo anakuwa na...
Eti hawa nao bado ni Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa tovuti ya Bunge;
1. William Mgimwa (Mb) jimbo la Kalenga
2. John Damiano Komba (Mb) Jimbo la Mbinga Magharibi
3. Zitto Zuberi Kabwe (Mb) Jimbo la Kigoma kaskazini
4. Bwanamdogo Ramadhan Said (Mb) Jimbo la...
Ungefanya juhudi ya kutafuta kanuni hizo kabla ya kuleta huu uzi. Hizi kanuni zimeweka viwango vya kelele vinavyoruhusiwa katika maeneo mbalimbali. Pia ni lazima ithibitishwe kwa vipimo kuwa kelele hizo zimevuka kiwango kinachoruhusiwa. Hivyo baadhi ya kelele kama adhana zinaweza zisiwe na zuio...
Hakika umeandika historia katika hili Taifa ambalo huko nyuma mabepari na hasa "Economic Hit Men" waliliogopa kama koma. Bravo kwa kucheza game na mihimili ya Taifa la Tanzania kama unavyopenda kwa kuwa 'mazingira' yanaruhusu. Juzi ulijaribu kutikisa bunge ukashindwa leo umeaua kutikisa Serikali...
Pole sana mkuu. Wizi wa aina hii ni kawaida sana katika vyombo vyetu vya usafiri hususan kwenye mabasi ya Abood. Jamaa yangu aliibiwa bag la laptop kwenye Abood kabla hata basi halijaondoka Ubungo Terminal. Kuna wataalam wanaingia kama abiria lakini mchezo wao kuscan mabegi ya laptop na ukizubaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.