Its more to do with content of the subject matter na ma referee au wenye hiki chombo huwa un comfortable with some truth from wachangiaji kama akina Mohammed Said na hususan kwenye popular subforum ya Jukwaa la siasa
Wote walikuwa ni wanasiasa japo Sykes na family yake walikuwa na mchango mkubwa zaidi
Keist na Leonidas wamefariki in a span of 24hrs from each other
Wote threads zao zililetwa kwenye jukwaa maarufu zaidi la Jamii forums (Jukwaa la Siasa) ambalo huwa lina mjiadala mirevu na lenye kuvutia...
Unajua kwamba eneo la MNAZI MMOJA Dar es Salaam miaka ya 1960-1970 lilikuwa maarufu kwa jina la TUA TUGAWE?
Unajua jina hilo lilipatikana vipi?
Jina hilo lilitokana na uwepo wa wababe wa mji enzi hizo katika eneo hilo ambao walikuwa wakiwasubiri kina mama wanaopeleka vyakula kwa mafundi na...
UNAJUA "FIRE" PALIKUWA PANAITWAJE?
Vijana wengi wa Dar es Salaam leo hii ukiwauliza "Unapafahamu MWEMBETOGWA?" watabaki wanakuangalia tu kwa mshangao.
Sasa kuanzia leo noamba mfahamu kuwa sehemu ambayo siku hizi inajulikana kama "Fire" au 'Faya' pale ambapo kuna traffic lights zinazoongoza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.