Nadhani sio sahihi kwa kukaa kwa kuchunguzana siku zote isipokuwa kama umeanza kuona dalili au viashiria fulani hapo unaruhusiwa kuchunguza ila kabla ya kuanza kuchunguza lazima uwe majibu yote mawili kwamba uchunguzi wako ukija negative utafanyaje na ukija positive utafanyaje na sio...
KWA HIVYO VISASI BADO UNAMSHAURI AOE MKE WA PILI KWELI??? SI ITAKUWA KILA AKIENDA KULALA KWA MKE MDOGO HUKU ANACHEPUKA KULIPA KISASI CHA JAMAA KUMLA MKE MDOGO???
Ila jamaa yako mbona kazingua mwenyewe, maana alichofanya ni sawa na umekopea hati ya nyumba halafu unaenda kutengeneza tena hati nyingine ya nyumba ile ile unakopa kwingine (utapeli), halafu alipokuwa anakopa huko sehemu ya pili alikuwa anategemea nini akijua kuwa mshahara wake hauwezi...
Ni vizuri akatuambia maana binadamu hatuna fadhila na niwasahaulifu, kesho tu ndo tutakuwa wa kwanza kumnanga kwamba kasaidia nini timu, kumbu kumbu zikae sawa tafadhali!!!!
Kwanini nuie ndo msimushtaki jamaa kwa kuwatumia picha zenye maudhui yasiyofaa maana mtalazimika kuzionyesha picha kama ushahidi hivyo na yeye atakuwa ameshadhalilika!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.