nilishawapangia sana mkuu, kwa mfano nilishawaambia kuwa wanapomaliza kula esp usiku ni lazima waoshe vyombo walivyotumia kabla ya kulala maana mpaka mende walijaa ndani sababu ya vyombo vichafu vinalala kwenye sinki na mabaki ya chakula, ukiwasema watafanya siku ya kwanza baada ya hapo...
Habari za majukumu,
Ninakaa na watoto watatu wa kuamzia miaka 8 mpaka 19, watoto hawa yaani ni awasikii kiasi kwamba hata chumba chao tu wanacholala kutandika au kufanya usafi ni mpaka uwasimamie, huko bafuni waakooga ndo usiseme ukiingia tu unakaribishwa na harufu kali mpaka vigae...
Mkuu, ungeweka maelezo ya kujitosheleza na picha zinazoonekana vizuri ili mpaka mtu anaamua kukupigia simu anakuwa ni mteja kweli na sio muuliziaji tu!!!
Ni wazo zuri japo nauona ugumu sana huko maana kumbuka mama wa kambo anaweza kumtisha mtoto ili asiseme ukweli, mnafika huko mtoto anaulizwa anakataa katu katu kuwa hajawahi kuteswa so ushahidi unakosekana na inaonekana mama wa kambo kasingiziwa halafu wanarudi nyumbani mtoto ata-pay the price...
Binafsi namsikitikia sana huyo mdada wa watu aliyekupenda kwwa jinsi ulivyo na mpaka ukaenda kumtolea mahali halafu ukamuacha,
Nina wasiwasi sana na huyo mtoto kama ni wako, kitendo cha mwanamke kuwa na ujasiri wa kutuma picha za uchi wake akijichezea tena kwa mwanaume ambae hampendi hiyo tu...
Nadhani sio sahihi kwa kukaa kwa kuchunguzana siku zote isipokuwa kama umeanza kuona dalili au viashiria fulani hapo unaruhusiwa kuchunguza ila kabla ya kuanza kuchunguza lazima uwe majibu yote mawili kwamba uchunguzi wako ukija negative utafanyaje na ukija positive utafanyaje na sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.