Recent content by Swahib Sinjo

  1. Swahib Sinjo

    Dada niliyekutana naye JF akawa mpenzi, leo tumetendana vibaya

    Kama story yako ni ya ukweli safi sana baharia!!!
  2. Swahib Sinjo

    Kuchunguzana kwenye ndoa ni udhaifu

    Nadhani sio sahihi kwa kukaa kwa kuchunguzana siku zote isipokuwa kama umeanza kuona dalili au viashiria fulani hapo unaruhusiwa kuchunguza ila kabla ya kuanza kuchunguza lazima uwe majibu yote mawili kwamba uchunguzi wako ukija negative utafanyaje na ukija positive utafanyaje na sio...
  3. Swahib Sinjo

    Uume kusimama legelege

    mambo vp, ninahitaji kuongea na wewe ila pm yako umefunga!!!
  4. Swahib Sinjo

    Uume kusimama legelege

    ........wasanii mnashangaa!!!!
  5. Swahib Sinjo

    Wanaume wengi wanateswa na wanawake wa aina hii lakini wanaumia ndani kwa ndani matokeo yake kupelekea maafa

    KWA HIVYO VISASI BADO UNAMSHAURI AOE MKE WA PILI KWELI??? SI ITAKUWA KILA AKIENDA KULALA KWA MKE MDOGO HUKU ANACHEPUKA KULIPA KISASI CHA JAMAA KUMLA MKE MDOGO???
  6. Swahib Sinjo

    Nahitaji msaada wa kisheria juu ya hii kesi

    Ila jamaa yako mbona kazingua mwenyewe, maana alichofanya ni sawa na umekopea hati ya nyumba halafu unaenda kutengeneza tena hati nyingine ya nyumba ile ile unakopa kwingine (utapeli), halafu alipokuwa anakopa huko sehemu ya pili alikuwa anategemea nini akijua kuwa mshahara wake hauwezi...
  7. Swahib Sinjo

    Must see Movies

    hiki kifurushi unajiunga vp??
  8. Swahib Sinjo

    Hivi kuna Route ndefu kuishida Dar - Karagwe?

    mtwara musoma nayo ni kisanga mkuu!!!!
  9. Swahib Sinjo

    MO Dewji: Nimetoa Bilioni 3 Kukamilisha Usajili Simba

    Ni vizuri akatuambia maana binadamu hatuna fadhila na niwasahaulifu, kesho tu ndo tutakuwa wa kwanza kumnanga kwamba kasaidia nini timu, kumbu kumbu zikae sawa tafadhali!!!!
  10. Swahib Sinjo

    Nilivyoumbuka kwenye swimming pool

    style yako ya usimuliaji tu ndo imenimaliza, vp mpaka leo bado maji yanaendeleza u-snitch na wewe???
  11. Swahib Sinjo

    Maji yanayotumika badala ya buffer solution katika kipimo cha HIV SD-bioline ni sahihi?

    kwani hivi vipimo vya hiv svimeshaanza kuuzwa pharmacy au mm ndo sijaelewa??
  12. Swahib Sinjo

    Nesi akiri alivyomhanithi mumewe na kumuua polepole kwa dawa ya macho

    Hata kama mjeshi alikuwa na kosa bado haimpi nesi haki ya kutoa uhai wa mwenzako ndo maana talaka zipo, umeona humuwezi kwanini msiachane??
  13. Swahib Sinjo

    Ukizifuma picha za utupu za anayemfukuzia mkeo utachukua hatua gani?

    Kwanini nuie ndo msimushtaki jamaa kwa kuwatumia picha zenye maudhui yasiyofaa maana mtalazimika kuzionyesha picha kama ushahidi hivyo na yeye atakuwa ameshadhalilika!!!
  14. Swahib Sinjo

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    nenda dramacool
  15. Swahib Sinjo

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Imeshatoka kitambo tu!!!
Back
Top Bottom