yAp lazim na yey awwpo kujibu mashtak kwa nn alitekelez familia so utapew summons ya kumuit yey aje kujuwa km umefungua shaur la kuomb tarak na hutaki ndoa yako irekebishwe ila mwisho wa siku talaka itatolewa
ni 24 hours na km ajapelekwa inabidi andike ombi kwa police apelekwe mahakaman na km wakikataaa tafuten mwanasheria apew barua ya maomb ya kufunguliwa kesi mahakaman ikiwa imeambatanishwa na chamber summos supported by affidavity.
maan huyo anahak hat ukisom under section 64 ya criminal...
hilo kosa ni ushahidi tosha kufany marriage kuvunjika bila marekebisho ambayo ipo katik section 107(2) of law of marriage act so ww nenda mahakam ya mwanzo kaomb talak yako kwa kosa la kuitelekekez familia kutokan na kosa hilo
kwa hapo mkataba ulikuwa wa rafik yako na xx na yy hakuwepo so yy ni third part ktk hayo makubaliano na kam tunavyojuwa third part han haki ya kushtak wala kushtakiwa so yy yey alitakiwa amshtaki xx na na sio yy na ndio maan huyo ndugu yako aliamua kumalizan na xx coz ndio walio kuwa ktk biashara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.