Recent content by svoca

  1. S

    Natafuta Kazi Niko Jijini Mwanza

    Toa msaada maswal mengi ya nn?
  2. S

    hawa jamaa wa british center wa kwa azizi ali wanatoa ajira gani?

    Hahahaaa!A na B sahihi hao jamaa ndo hvo hvo ninawafahamu vzuri sana na pale kwa azz ali walianza karibu miaka kumi ilopita
  3. S

    Mwl.hamia Bahi nije morogoro popote au pwani.

    Husika na kichwa hicho cha habari,nina mdogo wangu ni mwl wa sekondar yupo bahi Dodoma anataka wa kubadilishana nae maeneo kama hayo msaada wadau.
  4. S

    Utumishi kwanini wamefanya hivi?

    MUNGU ni mwema mm naamini mtairwa tu tena zaid ya hzo nafas zilizobaki,watakuwa wanaweka mambo sawa mtaitwa tuu
  5. S

    Wale waliopangiwa na utumishi sikonge tukutane hapa

    Hayo mambo ya kuanza kukusanyana yamepitwa na wakati ilikuwa zama.za kwenda kuripot shule
  6. S

    Samahani naomba kuuliza

    Habarini sa asubuhi wapendwa!naomba kujua nasikia matokeo drs la saba yametoka nimehangaika kuingis ktk web ya necta siyaoni sasa naomba mwenye kujua link anipe nimchekia kijana wangu.
  7. S

    Msaada--nataka kurudi kwenye kazini serikalini!

    Hv jamani kwa hali tu ya kawaida mtu unaondokaje kwa mwajiri wako miaka mitatu bila kuaga?kama ni kusoma mbona waajiri wanaruhusu?then ukimaliza unafanya hiyo michakato ya recategorization?
  8. S

    Msaada; nafasi hii ya kazi

    Mh!hakuna kitu kama hcho huo ni utapeli.
  9. S

    Naombeni kuuliza jamani.

    nashukuru rafiki keep it up!
  10. S

    Ni dereva mwenye uzoefu anatafuta kazi.

    Jamani kuna huyo ndugu yangu namleta kwenu kwa sifa tajwa hapo juu na kwa kuongezea anayo leseni,anatafuta kazi ya udereva magari yeyote anaendesha,hvo ukiwa wewe mwenyewe rafiki,ndugu yako au rafiki yako anahitaji dereva tusaidiane kwa hili please ,!yeye anapatikana Dar es salaam. Lakin pia...
  11. S

    Mabinti wawili wanatafuta kazi ndani

    Ama kweli mjini shule shamba darasa.
  12. S

    Naombeni kuuliza jamani.

    Natarajia kutokea Arusha ndugu yangu.
  13. S

    Naombeni kuuliza jamani.

    thanks be blessed
  14. S

    Naombeni kuuliza jamani.

    Habarini wadau,ninaomba kupewa uelekeo kwa wenye uzoefu huu,kama ninakwenda mkoani geita kutokea mikoa ya kaskazn hususani Arusha kwa mabasi ni njia gani wanatumia,na naul ni sh.ngapi?Tafadhali
Back
Top Bottom