Habari wadau,
Wakubwa shikamoni, wengine habari zenu!
Naomba kujua gharama ya kusafirisha tani( 1000kgs) ya mchele kutoka Mbeya kwenda Kampala.
Na pia kama kuna mtu anafanya hii biashara genuinely na anatafuta soko nchini Uganda, tunaweza kuzungumza na kushauriana.
Asanteni.
Inasaidia. I read about that idea kwenye kitabu na pia nilishawahi kusikiliza kwenye podcast ya Mel.
But their idea ilikua kuandika the positive things or achievements however small au big it is, iandike kwenye karatasi and be proud of yourself. Don't let negativity in your way but celebrate...
1. Nalia sana sana
2 Nafanya usafi( Najikeep so busy)
3.Nakaa gizani na kusikiliza my inner spirit taratibu ikinipa moyo.
4.Sometimes, I read an interesting Book.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.