Recent content by suzie _barbie

  1. suzie _barbie

    Msanii Jaiva wanawake wanampendea nini?

    Mwenyewe napenda mwanaume mwenye sauti nzitoo sauti ya Mamlaka
  2. suzie _barbie

    Najiskia vibaya Watanzania tukidhauriliwa/kusemwa vibaya

    Sikutaka kubishana na mjuaji ambaye niliona kabisa ana chuki. I had to save my breath huku na sip wine yangu. Aliongea weee mpaka akanyamaza.
  3. suzie _barbie

    Najiskia vibaya Watanzania tukidhauriliwa/kusemwa vibaya

    Kwani Kenyans ndo hakuna wanafiki? Tena kule kulivyo na capitalism, hakuna anayekujali. Bora Tanzanians tunasaidianana bwana. Tuna kale ka socialism .
  4. suzie _barbie

    Najiskia vibaya Watanzania tukidhauriliwa/kusemwa vibaya

    Thank you mkuu. Nimejifunza kitu. Sema mimi sipendi mambo ya kubishana bishana na wajuaji
  5. suzie _barbie

    Najiskia vibaya Watanzania tukidhauriliwa/kusemwa vibaya

    Niliwatajia pia mbona mabaya yao. Walikua wanne against me. Wakaanza kupaza sauti. Arrrggg nikakereka nikakaa kimya.
  6. suzie _barbie

    Najiskia vibaya Watanzania tukidhauriliwa/kusemwa vibaya

    Mwishoni niliwaambia sitaki muongelee nchi yangu tena.
  7. suzie _barbie

    Najiskia vibaya Watanzania tukidhauriliwa/kusemwa vibaya

    Roho yangu imeniuma ndio wanavyotudharau.
  8. suzie _barbie

    Najiskia vibaya Watanzania tukidhauriliwa/kusemwa vibaya

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Sitaki hata kuonana nao tena.
  9. suzie _barbie

    Najiskia vibaya Watanzania tukidhauriliwa/kusemwa vibaya

    Siwezi kubishana na mtu mjuaji aise. I'll just watch the person akibwabwaja mpaka atakavyochoka .
  10. suzie _barbie

    Najiskia vibaya Watanzania tukidhauriliwa/kusemwa vibaya

    Vigeugeu ndo tabia ya politicians.
Back
Top Bottom