Ningeelewa kama wangedil na wale wanaofuja mali za umma ambao ndo wamejazana CCM.. Hii ya kuwavua uanachama wenye mawazo tofauti ni udicteta na chuki. Huku sio kujenga chama ni KUTISHIA WANACHAMA WASITHUBUTU KUMPINGA MGOMBEA
Be carefu tena tubu haraka Mungu sio mwanadamu.. hakosolewi ana mamlaka yote,, ni wa haki.. yeye ni yule jana leo na hata milele
tubu atakusamehe yeye ni mwingi wa rehema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.