Recent content by Suti na Tai

  1. Suti na Tai

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkeka mmoja nimempa 0ver 0.5 na mwingine 1.5, timu zote zimetoa kasoro yeye tu!
  2. Suti na Tai

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Siku mbaya ofisini.. benfica daah
  3. Suti na Tai

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Leo nkaamua nijaribu betting nione inakaaje nkatupia 100k.. naona kuna mwanga kwa mbaaaliii
  4. Suti na Tai

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    STATUS: Job seeker PROFFESSION: Social Science (Sociology) EDUCATION: Bachelor Degree EXPERIENCE: 8 Years (5 - yrs in Management level, 2 - yrs in M&E and Data Management, 1 yr -Volunteering and intenship) JOB LOCATION: Dar es Salaam (Parmanent), Other locations (Short time) OTHER SKILLS: MS...
  5. Suti na Tai

    Dream League Soccer Special Thread

    Kuna anaelijua humu?
  6. Suti na Tai

    Form six uliza hapa jambo lolote kuhusu UDSM

    UDSM hatuna watu kama ww! ww unaonesha hata O-Level hujamaliza.. alaf sio lazima uandike kiingereza ili uonekane msomi maana kila ulipoandika kiingereza umekosea! Jikubali na kubali mahali ulipo.. UDSM sio peponi ni chuo kama vyuo vingne jitihada zako tu ndizo zitakupeleka hapo! Soma
  7. Suti na Tai

    Udom: Tabia ya kuwaongezea coursework wanafunzi waliofeli inakatisha tamaa

    Unamaana gan hapo mkuu? Sociology ni wambea au?
  8. Suti na Tai

    Hivi ni kwanini UDOM inadharaulika kiasi hiki?

    Nyie ongeleeni UDOM na hivyo vyuo vingne mkitaka kulinganisha na UDSM mtaleta mabishano yasiyo ya lazima! msiamishe mada iliyoletwa hapo juu!
  9. Suti na Tai

    Hivi ni kwanini UDOM inadharaulika kiasi hiki?

    Sasa habari za UDSM zimeingiaje hapa?
  10. Suti na Tai

    Ukweli kuhusu Udsm huu hapa

    Ukishaingia chuo utaweza lijibu hlo swali, kwa sasa huwez pata jibu kwa sababu hata upeo wako bado ni wa level ya sekondari.
  11. Suti na Tai

    Ukweli kuhusu Udsm huu hapa

    Kumbe ndio maana anaongea ujinga wake hapa! mawazo yake tu ya kisekondari sekondari
  12. Suti na Tai

    Ukweli kuhusu Udsm huu hapa

    Sap na Disco zipo nyingi kwa sabab chuo hakitak mchezo kinataka wanafunz wanaojituma na wanaojitambua na wanaoweza kukiwakilisha chuo vyema wawapo nje ya chuo.. wanafunz weng wa ckuiz tunafany mchezo na chuo na ndio maana haya yanatokea! Binafsi sioni tatizo hapo zaidi zaidi naona wewe unataka...
  13. Suti na Tai

    Degree ya socialogy

    1. Ni SOCIOLOGY and not SOCIALOGY. 2. Nina waswas kidogo na ulichokiandika kama ni ukwel kwa7b hakuna mwanafunz anaejielewa akaulizia kuhusu ajira akiwa mwaka wa mwisho wa masomo na kama ni kweli basi kaka yako sio mfano wa kuigwa.. 3. Ushindani wa ajira ni mgumu kidogo unaposoma course hyo...
  14. Suti na Tai

    Vote 4 diamond, jaydee, ben paul... Afrimma awards 2014

    African Music Magazine Awards (AFRIMA) imetoa nominees wanaowania tuzo mbalimbali barani Africa! Kwa upande wa Tanzania wasanii waliochaguliwa ni pamoja na Diamond Platnumz (5 categories), Lady J-Dee (1), Mpoto (1) , Ben Paul (1) na Shedy clever (1). piga kura kupitia link hii...
Back
Top Bottom