Recent content by suresh91

  1. suresh91

    Dereva wa kujitolea anahitajika, awe amepita NIT

    Dereva wa kujitolea halafu na masharti kibao eti awe amepita NIT ebu axheni masikhara kwenye maisha ya watu.
  2. suresh91

    Utamjuaje mwanamke mruka ukuta?

    Huruma ya nn ikiwa ametaka mwenyewe
  3. suresh91

    Nifanyeje; Mpenzi wa zamani kanipigia simu anataka kuonana na mimi

    Kama huna jibu la kumjibu bas bdo unampenda.
  4. suresh91

    Nifanyeje; Mpenzi wa zamani kanipigia simu anataka kuonana na mimi

    Mwambie cwez kuonana na ww kwan nina ratiba ya kuonana na mpenz wngu mda huo huo.
  5. suresh91

    Wiki mbili zitanitosha kujua gari?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni kweli kabsa maana hawa boda boda wa sasa hv wanajfanya wana haraka bila ya kujua sheria wala hawajali uwepo wa vyombo vngne.
  6. suresh91

    Wiki mbili zitanitosha kujua gari?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  7. suresh91

    Umetongozwa leo na leo leo umevua nguo loh!

    Nmeipenda comment yako safi sana[emoji122][emoji122]
  8. suresh91

    Umetongozwa leo na leo leo umevua nguo loh!

    Mapenzi ni popote pale yanafanywa muhmu wenyewe mkiridhiana
  9. suresh91

    Dereva anahitajika haraka

    Npo temeke ila nina uhakika wa kuwah nina uzoefu wa kutosha pia nmeptia VETA na leseni yngu A A2 B D E
  10. suresh91

    Dereva anahitajika haraka

    Npo tayari kwa hyo kazi mkuu nipgie tufanye kazi 0717557509
  11. suresh91

    Natafuta uzoefu wa kuendesha truck/lori

    Jamani ebu tusaidiane maana hali ni tete mwnye kuckia au kuhtaj dereva tupo hatuna kazi na uaminifu tunao... Tusaidiane ktk hili leseni yngu ni class E
  12. suresh91

    Natafuta uzoefu wa kuendesha truck/lori

    Habari' mimi ni dereva ila nataka kuwa suka wa kuendesha malori tatizo sijafanikiwa kupata sehem ya kupatia uzoefu mwenye kuwa na hiyo nafasi naomba tusaidiane.
Back
Top Bottom