[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni kweli kabsa maana hawa boda boda wa sasa hv wanajfanya wana haraka bila ya kujua sheria wala hawajali uwepo wa vyombo vngne.
Jamani ebu tusaidiane maana hali ni tete mwnye kuckia au kuhtaj dereva tupo hatuna kazi na uaminifu tunao... Tusaidiane ktk hili leseni yngu ni class E
Habari' mimi ni dereva ila nataka kuwa suka wa kuendesha malori tatizo sijafanikiwa kupata sehem ya kupatia uzoefu mwenye kuwa na hiyo nafasi naomba tusaidiane.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.