Nikiangalia mchakato wa kura za maoni ndani ya ccm kwenye uchaguzi tarajiwa wa serikali za mitaa, naona ccm kama li-jipu fulani hivi. Kwenye kata nyingi kumekuwa na na kuombana rushwa ili jina lako lipitishwe. Najaribu kufikiri
Kuna wakati tuliambiwa mtandao wa Vodacom umevujisha taarifa sijui umehakiwa. Wakati mwingine tunaimbiwa kuna wezi wa mtandao wanaingilia Tigopesa na M-Pesa.
Sasa najiuliza, je taarifa zetu kwenye makampuni hayo hazidukuliwi tena?
Wakosoaji ndiyo tunaomsaidia zaidi. Siku zote ukitaka maendeleo unahitaji kuwepo kwa watoa changamoto yaani challengers au wakosoaji kwani hao watakufanya ufikiri kwa kina na kuamua vema kile unachotaka kufanya. Wasifiaji mara nyingi ni wanafiki tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.