Maajabu ya ripoti ya CAG bunge linahairishwa ripoti bado iko kwenye kamati. Yaani bunge na serikali lao moja wizi

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Hii historia na maajabu yanapatikana tanzania pekee chini ya awamu ya tano inayokumbatia wizi mkubwa na ubadhirifu wa mali ya umma wakijificha kwenye koti la uzalendo uchwala.

Toka ripoti ya cag itoke tukadanganywa iko kwenye kamati ya PAC mpaka leo bunge la bajeti linahairishwa hiyo ripoti imetupwa huko.

Ripoti inayoanika matumizi mabaya ya fedha za umma supika huyu kaikalia kesho unawasikia wanajiita wazalendo kumbe dhaifu wakubwa.

Bunge limekuwa sehemu ya serikali swala la kuisimamia serikali limekufa ndani ya awamu hii. Kuna kakundi flani kamekuwa miungu watu hawagusiki
 
Wajinga/wapumbavu wanaamini kufukuza watu maofisini ndio kuchukia rushwa na ndio kupambana na rushwa na kwamba huo ndio utendaji wa kusifiwa hata kama yanafanywa kwa geresha tu!!
 


Bunge KINYAA Bunge DHAIFU linalofanya kazi zake kwa niaba ya nduli, kubwa la majizi, nduli na dikteta wa Ikulu. Limeamua kuutelekeza wajibu wake wa kuwa wawakilishi wa Watanzania Bungeni na hivyo kuisimamia Serikali na kuikemea kwenye maovu yake mbali mbali. Hakuna umuhimu wa kuendelea kuwa na Bunge kama hili linalotafuna trillions za walipa kodi kila miaka mitano kwa mishahara na marupurupu yao huku utendaji wa kazi zao ni ZERO, SIFURI, NILCH.

Hii historia na maajabu yanapatikana tanzania pekee chini ya awamu ya tano inayokumbatia wizi mkubwa na ubadhirifu wa mali ya umma wakijificha kwenye koti la uzalendo uchwala.

Toka ripoti ya cag itoke tukadanganywa iko kwenye kamati ya PAC mpaka leo bunge la bajeti linahairishwa hiyo ripoti imetupwa huko.

Ripoti inayoanika matumizi mabaya ya fedha za umma supika huyu kaikalia kesho unawasikia wanajiita wazalendo kumbe dhaifu wakubwa.

Bunge limekuwa sehemu ya serikali swala la kuisimamia serikali limekufa ndani ya awamu hii. Kuna kakundi flani kamekuwa miungu watu hawagusiki
 


Bunge KINYAA Bunge DHAIFU linalofanya kazi zake kwa niaba ya nduli, kubwa la majizi, nduli na dikteta wa Ikulu. Limeamua kuutelekeza wajibu wake wa kuwa wawakilishi wa Watanzania Bungeni na hivyo kuisimamia Serikali na kuikemea kwenye maovu yake mbali mbali. Hakuna umuhimu wa kuendelea kuwa na Bunge kama hili linalotafuna trillions za walipa kodi kila miaka mitano kwa mishahara na marupurupu yao huku utendaji wa kazi zao ni ZERO, SIFURI, NILCH.

Mkuu umeandika Kwa hisia Kali. Ni ngumu mtu kuacha hulka yake. Jiwe ni mpigaji toka zama hizo akiwa waziri wa wizara mbalimbali!
 
Hii historia na maajabu yanapatikana tanzania pekee chini ya awamu ya tano inayokumbatia wizi mkubwa na ubadhirifu wa mali ya umma wakijificha kwenye koti la uzalendo uchwala.

Toka ripoti ya cag itoke tukadanganywa iko kwenye kamati ya PAC mpaka leo bunge la bajeti linahairishwa hiyo ripoti imetupwa huko.

Ripoti inayoanika matumizi mabaya ya fedha za umma supika huyu kaikalia kesho unawasikia wanajiita wazalendo kumbe dhaifu wakubwa.

Bunge limekuwa sehemu ya serikali swala la kuisimamia serikali limekufa ndani ya awamu hii. Kuna kakundi flani kamekuwa miungu watu hawagusiki
Ndiyo maana tunataka katiba mpya
 
Back
Top Bottom