Tumia simu yako ( sms na voice ) kwa nidhamu. Wakitaka mawasiliano yako wanayapata mda wowote. Kama una dili hatarishi onana na muhiska uso kwa uso.
Wewe unaweza kuwa fisadiTumia simu yako ( sms na voice ) kwa nidhamu. Wakitaka mawasiliano yako wanayapata mda wowote. Kama una dili hatarishi onana na muhiska uso kwa uso.
Ila kweli. Lakini, kesho ntazungumza zaidiTumia simu yako ( sms na voice ) kwa nidhamu. Wakitaka mawasiliano yako wanayapata mda wowote. Kama una dili hatarishi onana na muhiska uso kwa uso.
Inaweza ikawa mtu anamfukuzia mke wa mtu, kusafirisha nyala, mipango ya kisiasa, au bank aliyoficha pesa n.k hayo mambo sio ya kutumia ( voice na sms )... hayo tumia uso kwa uso, encrypt device yako then tumia Telegram kwa kutumia fake address kama unakata kupoteza ushahidi hata ikitokea ùlie kuwa unawasiliana nae kukusaliti. Ipo siku nitakuja na mbimu za kujificha na tools zake hutokuja kamatwa hata kwa dawaMbona unashikiri kusaidia uhalifu
mkuu nafatana na wwInaweza ikawa mtu anamfukuzia mke wa mtu, kusafirisha nyala, mipango ya kisiasa, au bank aliyoficha pesa n.k hayo mambo sio ya kutumia ( voice na sms )... hayo tumia uso kwa uso, encrypt device yako then tumia Telegram kwa kutumia fake address kama unakata kupoteza ushahidi hata ikitokea ùlie kuwa unawasiliana nae kukusaliti. Ipo siku nitakuja na mbimu za kujificha na tools zake hutokuja kamatwa hata kwa dawa
twitter nimeipenda bure. Kama yule ......2014 HahahahaaaMitandao sio salama hata kidogo wakitaka taarifa yako wanapewa kama una dili haramu tumia telegram kawasiliana na huyo muhusika wako au kama una account huko twitter au fb unatumia fake username tafuta VPN tena yakulipia ndo itakuwa salama yako
Hii ni mbaya sana aisee. Ingekuwa Ulaya hawa vodacom wangekulipa hela nyingi sanaMie voda walishawahi nichoma, tena kwa mtu, alikuwa na rafiki yake anafanya voda kitengo cha switch, alimpa mawasiliano yangi yote... nina experience... sina ugomvi na serikali mimi
Well said. Telegram, Telegram, Telegram. Kuna nyingine wanaita Signal nasikia ni nzuri sanaInaweza ikawa mtu anamfukuzia mke wa mtu, kusafirisha nyala, mipango ya kisiasa, au bank aliyoficha pesa n.k hayo mambo sio ya kutumia ( voice na sms )... hayo tumia uso kwa uso, encrypt device yako then tumia Telegram kwa kutumia fake address kama unakata kupoteza ushahidi hata ikitokea ùlie kuwa unawasiliana nae kukusaliti. Ipo siku nitakuja na mbimu za kujificha na tools zake hutokuja kamatwa hata kwa dawa
Ndo ikoje hyo mzeeNikiwa nafanya upuuzi, huwa situmii simu... Qubes Os... ndio chaka langu...
twitter nimeipenda bure. Kama yule ......2014 Hahahahaaa
Kuna yule Daudi balali wa twitter miaka na miaka serikali imeshindwa kumdaka anayetumia hiyo akaunttwitter nimeipenda bure. Kama yule ......2014 Hahahahaaa
Huwa unafanya upuuz ganiNikiwa nafanya upuuzi, huwa situmii simu... Qubes Os... ndio chaka langu...
wacha na surapaka naye ajisajili twitterKuna yule Daudi balali wa twitter miaka na miaka serikali imeshindwa kumdaka anayetumia hiyo akaunt
Kigogo2014 pia hawaji kumdaka ,
Twitter ipo secured sana kuliko fb, na Instagram