Mbunge huyu alikuwa ameshadai kuachana na ubunge baada ya kuwa amechuma vya kutosha lkn sasa nasikia anasema kuwa atagombea tena mwakania.Wananchi tunataka sura nyingine kwani huyu bwana amehusika na kutorosha kahawa nakuzipeleka Uganda kwa kisingizio cha kupeleka maganda,wakati huo...
Ukichunguza kwa makini sakata la zzk utagundua yafuatayo 1.zzk siasa zake ni za kumjenga yeye tu na si chama 2.mfungamano wake na ccm ni mkubwa na si rahisi kuutengua kwa maneno tu 3.zzk ni mtu aliye na tabia yamakundi na yanamsaidia...
Bora huyo walau huyu Eustace Katagira wa Kyerwa tangu alipopewa ubunge 2010 ndo alipewa tiketi ya mojakwamoja hata hayo matusi hatuyasikii cjui huwa anakuwemo bungeni? sasa najiandaa kumwondoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.