Recent content by surambaya

  1. S

    Viwanja vinapatikana maeneo mbalimbali

    Ngapi? Mi na 10 mil ntapata cha serikali cha kupimwa? Ni pm nikupe namba yangu.. Iwe kigamboni
  2. S

    Vita vya Kagera: Historia yangu - Sehemu ya kwanza

    Hapa niko kutafuta ukweli kuhusu chanzo cha Vita ya uganda na Tanzania kwa maaana Yamekuwa maneno mengi kuwa Iddi amini ndio alituanza sie kwa kuingia kwenye mpaka wetu wa uganda na mkoani kagera na kujimilikisha Wengine wanasema HAPANA, JK ndio mwanZilishi maana yeye baada ya iddi amini kumtoa...
  3. S

    Atlanta’s “largest and oldest” Mosque faces tax sale

    Watu wachangie tuu fasta msikiti ubaki..
  4. S

    Kware wanauzwa

    Ivi kware mbona namuona mdogo sanaa? Na labda anakitu anasaidia sanaa mwilini au nini anacho cha kipekeee??
  5. S

    Messi moto; Aweka rekodi mpya UCL

    We mtu? Si ni magoal ya la liga tuu hayo messi aliyofunga kwa misimu na kuvunja rekod ya zarra ya magoal 251, statistically messi kamzidi vibaya kwa magoal ronaldo. La liga 253, uefa 74, argentina....!! Usiongee vitu kama haujui au google
  6. S

    Hali inatisha Ocean Road, hakuna dawa

    Cha kufanya? Aandaeni basi maandamano watu tujitokezee tuu watue kulikoni ukosefu wa dawa huu..!!
  7. S

    Mauaji ya mtuhumiwa mkuu wa kesi ya mabomu Arusha inatia utata sana

    Milion dolar question, NI VIPI MTUHUMIWA WA MABOMU ALIYEKUWA ANATOROKA APIGWE RISASI YA MBELE YA TUMBO? Tusilete uchama au udini, tuelezane tuu inakuwaje? Tupeni HISTORIA ya maisha ya Marehemu huko nyuma, kwa wanaomjua. Aliishi wapi? Na alikuwa anafanya nini? Na maisha yake na jamii yalikuwaje...
  8. S

    Carina t.i inahtajika budget mil.4

    Ipo ila ni 4.5 mil, ukitaka ni PM
  9. S

    Kifaa cha kutambua mabomu (made in Tanzania)

    Mkuu unapatikana wapi au ni pm namba yako..
  10. S

    Nyumba inauzwa iko Kijitonyama, kinondoni

    Ndugu kama mnunuzi ni pm au? Nitakuonyesha nyumba na nitakuongiza ndani na documents zote zipo na valid.. Sasa unataka kununua au?
  11. S

    Nyumba inauzwa iko Kijitonyama, kinondoni

    Ukisema zizo ina maana itakuwa inayofuata, nimesema iko oppsite na shell ya bamaga.. Naiuza
  12. S

    Nyumba inauzwa iko Kijitonyama, kinondoni

    Hii nyumba iko afrikana sanaa, kijitonyama Price; 300 mil Plot ukubwa; 1200 sqm Kilichopo; 6 bedrum house Eneo; kiko barabarani kubwa afrika sanaa, just opposite na bamaga shell au mkabala na corner bar. Contact; pls pm, mi mwenye nyumba
  13. S

    adapter ya laptop ya sony inauzwa

    Vipi? Utanipa 20 thousand or? Ni pm unapopatikana..
  14. S

    adapter ya laptop ya sony inauzwa

    Nipe 20 thousands..
  15. S

    adapter ya laptop ya sony inauzwa

    Mi ninayo ya acer..
Back
Top Bottom