Mwalimu wetu mmoja(raia wa Uingereza)wakati anatufundisha somo la kemia kidato cha tano na sita alikuwa alituonea huruma kwa muda tunaopoteza kusoma masomo(matopic magumu:organic,inorgonic,physical,practical chemistry)ambayo ukifika chuo kikuu unayosoma tena upya...
Ni kweli kufika kitengo...
Ilisemwa chagua MAGUFULI...
Ni mchapakazi
Ni mfuatiliaji
Ni MUADILIFU...
Muda wa PROPAGANDA umeisha ni muda wa VITENDO.
Kama kuna mushkeli kwenye udahili wa binti ni KUTUMBUA TU kama ifuatavyo...hamna namna.
Vodacom,kazi ni kwako..
Nchi yetu hii mpaka tumezoea(tumelemazwa na) misaada kutoka kwa wahisani mpaka vitu vidogo ambavyo hata sisi wenyewe tunavimudu ki uchumi tunataka kusaidiwa.
Mathalani utaskia eti chandarua ni kwa "hisani" ya watu wa marekani...
Si lengo langu kulaumu...hatahivyo ningependa na sisi kama wana...
Nauliza tu:
Hivi nchi yetu inatakiwa iwe na idadi ya watu wangapi ili serikali iweze kutoa "huduma bora" kwa kila raia?
Kama hiyo idadi bado haijawekwa bayana kwa mtazamo wa kawaida hii dhana ya "ongezeko la idadi ya watu lidhibitiwe" itakuwa ni PROPAGANDA za watu wanaozitamani RASILIMALI zetu...
Kwanza nawausia pamoja na kuiusia nafsi yangu tuache ubaguzi...
Mweupe kumbagua mweusi ni ubaguzi,na kinyume chake pia ni sahihi.
Pili si busara kutafuta(kusingizia,kusukumia)makosa/lawama upande mwingine ilihali mapungufu tunayo sisi wenyewe(NGOZI).
Tujiulize:
Tunapendana kama jamii?tunaoneana...
Watoto wajeycha oyee...
Kipi kinawafurahisha wakati "jeycha" kafungiwa mwaka mmoja kutokana na maamuzi yake mabovu yaliyopelekea team jeycha kupata huo ushindi?
Team jeycha mkizidiwa kimchezo mkubali matokeo...muwaambie na hao majeycha walijue hilo.
Marefa nao wengiwao ni hivyo hivyo.mara nyingi hawaoni matukio kwa ukaribu au "angle" sahihi...aghalabu wanakuwa mbali na tukio husika...na wao wanabahatisha bahatisha tu...
Nitatoa mfano...ktk shambulizi la kustukiza(counter attack)
Geofrey Taita alimwangusha Okwi ndani ya boksi refa akapiga...
Ushauri:
Nenda na kamera taifa.Vua ushabiki wako.kaa jukwaa kuu karibu na uwanja(VIP B/VIP C ) kaa maeneo mkabala na boksi la 18(usikae nyuma/pembeni ya goli)fanya kazi moja tu mmulike mshika kibendera na offside zake...nyingi kati ya atakazonyanyua kibendera unaweza gundua hayupo kwenye sehemu...
Muda mwingine unaweza kusema mshika kibendera anapendelea kumbe maskini ya mungu hakuwa na kasi ya kutosha kuweza kuona offside kwa uhakika.
Anabaki na kigugumizi ninyanyue kibendera au nisinyanyue...anatoa uamuzi mbovu sie tunaona anapendelea kumbe ukweli ni kwamba ameshindwa kwenda na kasi ya...
Tukubaliane jambo moja...
Bongo hatuna waamuzi...hatuna marefa wala washika vibendera makini...huo ndio ukweli usiopingika.
Jiulize,
Je,yupo mwamuzi yeyote anayechezesha/aliyechezesha mechi za michuano ya klabu bingwa Afrika ama kombe la shirikisho kwa miaka ya hivi karibuni?
Yupo yeyote kwenye...
Mawakili wanaomtetea Kessy wako wengi sn sijui kwa nn...
Hawaoni huyu mchezaji anavyoigharimu timu ktk mechi muhimu???
Kwa jicho la mbali utaona huyu bwana bado hajitambui...hajajua thamani ya jezi ya Simba Sports labda...ni kama analeta makuzi kwenye nyoyo za wapenzi wa Simba...kumpasia Ngoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.