Recent content by SUPPER GLORY

  1. S

    Membe atua usiku kikachero, ahoji Shibuda alimpinga Kikwete, mbona hakukuwa na nongwa?

    Ukitaka iwe hivyo kwa urahisi, tumia ushawishi wako ulionao na ukamshawishi huyo Membe ahamie hata UKAWA agombee nafasi ya urais akiwa huko ili 2020 wakutane kwenye majukwaa na Magufuli halafu baada ya tarehe 25 October 2020 uje uniambie kati yao hao wawili nani amepita! Mnaumiza akili tu kwa...
  2. S

    Membe atua usiku kikachero, ahoji Shibuda alimpinga Kikwete, mbona hakukuwa na nongwa?

    Subiri Membe awe Rais wa Tanzania mwaka 2020!!!!
  3. S

    Membe atua usiku kikachero, ahoji Shibuda alimpinga Kikwete, mbona hakukuwa na nongwa?

    Hii ni kama fisi anapomfuata binadamu akitegemea kuwa mkono wake utadondoka ili autafune, kumbe siyo hivyo. Subirini tu!
  4. S

    Membe atua usiku kikachero, ahoji Shibuda alimpinga Kikwete, mbona hakukuwa na nongwa?

    Kinyanganyiro cha kuanza kuomba ridhaa ya kuwania nafasi hiyo kwa mjibu wa kanuni za chama bado. Sasa yeye akianza harakati hizi mapema sana, yatamkuta yale yaliyomkuta ndugu LOWASA. Someni kanuni za chama nadhani ndiyo mtayajua haya. Lakini mkiwa mashabiki tu, hamtayajua.
  5. S

    Membe atua usiku kikachero, ahoji Shibuda alimpinga Kikwete, mbona hakukuwa na nongwa?

    Kwani kwenye kinyanganyiro cha kumteuwa mgombeaji kwenye chama cha CCM 2015 Magufuli na Membe wote si waliomba kuteuliwa? Je, kati ya hao wawili, ni nani alipita na kuchaguliwa kuwa Rais? Hizi kelele mnazopiga wala hazina maana. Membe afikirie tu Urais 2025 na siyo 2020! Kama hautaki, ukweli...
  6. S

    Membe atua usiku kikachero, ahoji Shibuda alimpinga Kikwete, mbona hakukuwa na nongwa?

    Ndugu yangu! Huyo Membe hana jipya. Kama angekuwa na ushawishi aliyokuwa nao Lowassa mwaka 2015, tungesema sawa. Lakini kwa sasa usitegemee lolote jipya kutoka kwa Membe. Hii ni kutafuta tu front page na kiki kwenye vyombo vya habari. Kamati ya maadili ya chama iliyomkata bwana Lowasa 2015...
  7. S

    GE2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

    Wewe nakuona kama vile unaota ndoto ya mchana. Kama ni urais, basi mumushauri huyo Membe ajiandae kugombea 2025 na siyo 2020. Lowasa naye alijiandaa kabla ya 2015, Kilichomtokea nadhani wote tulishuhudia, sembuse Membe!!
  8. S

    Mke mtarajiwa anahitajika

    Dar inakuwa rahisi kuonana.
  9. S

    Mke mtarajiwa anahitajika

    Habari za asubuhi wana JF? Awali ya yote, nimetanguliza salamu kwenu nikiwa na matumaini kuwa mko vizuri. Katika chapisho hili, nimependa kutoa hitaji langu kwenu kuwa kupitia jukwaa hili, ninahitaji kumpata mke mtarajiwa ambaye tutajenga pamoja familia. Napenda kumpata mwanamke ambaye anaanzia...
Back
Top Bottom