Recent content by suplex city

  1. S

    Rais Magufuli akiwa na Mkewe Mama Janet Magufuli

    na yeye atakuwa na NGO yake kama mama salma na WAMA.
  2. S

    TANESCO wamerudia yao, watanzania mtaisoma namba!

    Huku kwetu tangu saa 3 asubuhi hakuna umeme na usiku ulikuwa unakatka katika sana watu wa ccm wanalalamika kweli sanaki zao zinaoza kwenye mafriji
  3. S

    Morogoro Kusini, Wilaya masikini kuliko zote Tanzania

    Lami ya matombo haijabanduliwa bali imetom.....
  4. S

    Angalia ramani alikoshinda Magufuli na Lowassa

    Kweli kanisa labda ingekuwa mil8 kwa laki 2 ndio ingeendana na hiyo ramani.
  5. S

    Ahadi za Rais Joseph Pombe Magufuli awamu ya tano, 2015 hadi 2020

    Kilimo cha kisasa cha ubuyu dodoma
  6. S

    Ahadi za Rais Joseph Pombe Magufuli awamu ya tano, 2015 hadi 2020

    Elimu bure kuanzia vidudu had form4 kuanzia mwakani.
  7. S

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Mwita mpambanaji alikuwa rais wangu wa darusu miaka ya 2004/2005 yupo vizuri sana.
  8. S

    Atakayeisoma namba ni yule mwenye kipato cha chini

    Kweli kabisa kaka mfano kwetu muleba kusin wameniangusha kweli kumrudisha yule mama fisadi tibaijuka na huko ni watu wenye shida kweli sasa nimeshawambia ndugu zangu sitaki simu za mizinga wafe wenyewe na ccm yao mimi huku dar sina shida kila mtu afe na shida zake.
  9. S

    Dr.JP Magufuli mteue mama Regina Lowasa kua mkuu wa mkoa wa Dsm

    Atakuwa mbunge viti maalumu chadema lazima bunge liwake.
  10. S

    JK AMPONGEZA RAIS MTEULE DK. MAGUFULI IKULU, "Picha na Maelezo"

    Mbona hajaenda na mkewe kaenda kihuni tu.
  11. S

    Regina Lowassa - Shujaa wangu

    Chadema wangempa viti maalum tu
  12. S

    Jeshi la polisi lazingira kituo cha sheria na haki za binadamu, lakamata watumishi

    Umeme umekatika jamani na hii tanzania ya magufuli ni ya viwanda uwiii tumeliwa.
Back
Top Bottom