Watu ambao kila wakiongea wanamtaja Mungu ni watu hatari sana jina la Mungu wanalitaja tu ili waonekane ni wema kumbe ni wauaji wakubwa. Kwenye utawala huu kuna watu wawili kila wakiongea wanajifanya kumtaja sana Mungu kwa kisingizio cha kumtanguliza Mungu mbele.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wale mnatumia decoder za dish amuwezi kuona FTA(free to air) channel wenye fursa ya kuona channel za ndani ni wale wanaotumia ving'amuzi vya antena pekee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.