Recent content by supersembe

  1. S

    KERO Uwanja wa CCM KIRUMBA una matundu manne 4 tu ya vyoo

    Hata uwanja wa Kaitaba Bukoba sehemu ya jukwaa kuu kuna vyumba 2, chumba kimoja kimefungwa kwa kufuli wakati mechi zikiendelea. Chumba cha pili wametoa mlango ili kisitumike. Sehemu ya kukojoa ndo usiseme, pachafu kama nini. Swali, uwanja wa Kaitaba unamilikiwa na nani?
  2. S

    Makonda adaiwa kukataa nyumba ye Serikali, inasemekana anaishi Hoteli ya Nyota 5

    Mitandao ya kijamii kama JF itamsaidia mama kujua kinachoendelea Arusha. TBC kimaadili inazuiwa kutangaza habari kama hii ya Bashite.
  3. S

    Watanzania tuige mfano wa Ujerumani, tunapaswa kumsahau Magufuli na kuweka bidii kusonga mbele

    Kati ya uzalendo wa Magufuli ni kuhamisha fedha ya ujenzi wa ndege wa Kajunguti (bukoba) hadi Chato. Matokeo yake uwanja wa Bukoba ukabaki hatarishi, ajali ya ndege ya Precision mwaka 2022 Kati ya mambo mengine ilisababishwa na uwanja kukosa taa wakati wa mvua. Pia na kukosa tawa la kuongoza...
  4. S

    Hivi ni kweli TPDC wanasambaza LPG? Au kuna makosa katika uandishi?

    Gas inayochimbwa Tz ni natural gas kwa jina la kitaalam. Itakuwa LNG baada ya kuchakatwa. LPG inatokana na mazao ya Petrol, ambayo Tz hatuna.
  5. S

    PreGE2025 Dkt. Ndugulile: Uchaguzi wa 2020 ulikuwa na dosari ambayo hatuwezi kuificha, siungi Mkono kupita bila kupingwa

    Wasimamizi wanaeleezwa mshindi ni nani bila kujali idadi ya kura alizopata. Tabia hiyo ikiendelea, tunakaribisha majanga, sawa tuliyoyaona 2020 baada ya uchaguzi wa Magu.
  6. S

    Lazaro Nyalandu, Mwanaccm pekee aliyepinga Udikteta wa awamu ya 5 kwa vitendo

    Nyarandu ni mwanamme wa shoka. Ni aibu kusema Magufuli alikuwa meamba, wakati alitegemea zaidi watu wasiojulikana kuwashugulikia wale waliompinga kwa kuwatumia vitisho, kuwateka, kutoa fedha kwenye akaunti zao za benki, kuwaua na madhara mengine mengi.
  7. S

    Msafara wa Makonda wapata ajali

    Nagari yote ya nini kama ni kuwajali wanyonge? Hajali imewaumbua!
  8. S

    Sheria ya gari kugonga treni imeshafutwa Ulaya

    Majuzi imetokea ajali ya gari kugongana na kichwa cha treni hilo Singida. Lawama zote zikaelekezwa kwa dreva wa treni. Wenzetu Ulaya wametumia teknolojia tena ya bei rahisi kubadili mambo. Makutano yote ya barabara kuu na reli yamepewa vizuizi vya automatic, kufunga beria ya barabara, kupiga...
  9. S

    Ajali za magari kugonga treni zinaongezeka. Wizara zinazohusika zichukue hatua

    Ukweli ni kwamba Tanzania au Tanganyika tunaongozwa na sheria zilizopitwa na wakati. Twende kwa wenzetu Ulaya, tujifunze sheria za reli onapokatisha barabara kuu. Maneno kwamba dreva wa gari kagonga treni waliyafuta zamani, sisi tumebaki kukariri ili shirika la reli lisiwajibike. Imeundwa...
  10. S

    Paul Makonda amtaka mwandishi kumuuliza mama yake baada ya kumhoji tuhuma za kumshambulia Lissu

    Watanzania tunauwawa kama kuku. Akitokea wa kuhoji, jibu ni kama: muulize mama yako, wewe ni chadema, wewe ni ccm, umetumwa na Nape? TUTAKUFA HADI LINI? Waongoza mauaji wanazawadiwa vyeo! Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
  11. S

    Ujumbe kwa Joyce Mhavile: Waandishi wako hawajui tofauti ya Mahatma Gandhi na Indira Gandhi - pathetic!

    Hata TBC kwenye taarifa ya habari saa 1 asubui 10.10.23 wameendeleza makosa toka itv na radio1 kwa kusema eti Tanzania na India wanaendeleza uhusiano ulioanzishwa na Nyerere na Mahtima Ghandi.
  12. S

    Hizi hapa taasisi zilizorudisha rushwa kwa kasi ya ajabu awamu ya sita

    JPM alitumia mazingira ya rushwa ya juu (grand corruption) akahamisha fedha ya kujenga uwanja wa ndege wa Kajunguti bukoba hadi Chato. Ndege ya Precision kutumbukia ziwa victoria mwaka jana ilichangiwa na uwanja hafifu uliopo kwenye hali mbovu ya hewa.
  13. S

    Baada ya TPA kutangaza tenda kuhusu uwekezaji Terminal 2, Bado mnaamini Bandari zote zimeuzwa?

    Mkataba wa IGA haujafutwa, lakini TPA inafanya kazi kwa kufuata waraka wa maaskofu
  14. S

    Baada ya TPA kutangaza tenda kuhusu uwekezaji Terminal 2, Bado mnaamini Bandari zote zimeuzwa?

    Lord Denning unashindwa kutambua kwamba, tangazo la TPA ni matokeo na itekelezaji wa waraka wa maaskofu. Hii ni kinyume na mkataba wa DP world.
  15. S

    Waislam tunapaswa kuondokana na upofu wa dini la sivyo tutaonekana wote hatuna akili

    Kikwete apelekewe hii makala aweze kutambua tofauti ya dini, siasa na hoja na mkataba kandamizi.
Back
Top Bottom