Poa nashukuru mkuu ngoja ni angalie uwezekano na vipi nikitoa kupitia ATM wanacharge tsh ngapi au nikitransfer bank wanacharge kiasi gani maana nimeambiwa kuanzia mwaka 2021 walikua wanacharge $15 transaction fees hii imekaje
Nashukuru mkuu ila nimetumia hiyo option ya kwanza naona Kama nimekwama sehemu kwamaana sioni sehemu ya kuweka namba za MasterCard yangu au kunasehemu nakosea
SAWA MKuu nashukuru Kwa msaada ila bei ndio si jajua bado ila kama una bei za dsm unaweza nitajia maana Kuna sehemu huku kwetu huwa bei zinatofautiana kidogo na za dsm
Wakuu nahitaji kujua nice nitatumia solar ya watt ngapi? Na betri la AH/N ngapi? Ili niweze kuwasha taa mbili na kucharge simu mbili zenye jumla ya mAh 6000 kila siku hata kipindi cha kifuku.
Naomba kujua na bei
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.