Watoto wana akili, ni kiwa train tu kwamba baba anapenda mpira. Basi wanajua kabisa anakuuliza baba kesho kuna mpira?, saa ngapi? Unamwambia ndio saa 3 usiku simba inacheza. Ratiba za baba zinajulikana mbona.
Basi atakuwa huru, mpaka ikifika muda huo hata hashangai kuona umeweka mpira.
Kuna...
Utamu wa kitu chochote ni kwa wewe mwenyewe mlaji unakichukuliaje na ladha yake umeielewa vipi. Hata vyenye chumvi, sukari, limao, uchungu na harufu kwa wengine ni vitamu.
Ili uone utamu wa ndoa inabidi akili yako ipokee mtazamo chanya kuhusu ndoa ndo utamu utauona.
Zipo familia zinaishi...
Tembea uone, usikae maeneo ya aina moja au kama uliona ndugu au mzazi akiteseka kwenye ndoa haimaanishi na wewe utateseka.
Badilisha mtazamo wako upande mwengine ufungue ufahamu wako uone mengi mazuri ambayo yapo kwenye ndoa.
Ndoa ni maisha kama maisha mengine na wewe ndo dereva wa taasisi ya...
Vijana wa kiume sasa hivi wamekuwa walaini sana kumuogopa mwanamke ambae ameumbwa kutoka kwa ubavu wake.
Sawa, hatukatai, ndoa zinachangamoto. Lakini ukweli kila kitu kinachangamoto dunia hii hata maisha yenyewe ni changamoto, shule ni changamoto na biasharani ni changamoto.
Dunia yenyewe...
Wanapoendelea kukataa ndoa kwa muda mrefu hata kama wanatania baadae akili zao zitajengeka hivyo hivyo hakuna umuhimu wa ndoa. Wakija kushtuka utuuzima na uzee huu hapa.
Wengi wanaokataa ndoa, kisaikolojia hawapo sawa kwa sababu ya kushuhudia matatizo ya ndoa na kuyachukulia personally
Duniani...
Kwanini upo single?
Una uoga wa kukataliwa, uoga wa kutongoza, uoga wa kumiliki mwanamke, uoga wa maisha.
Yani bro, wanawake wote hawa kibao kila kona wapo
Madhara ya kutembea na wanawake wengi yanakuharibu akili kisaikolojia huoni umuhimu wa kuoa. Ladha za wanawake wote unazijua, mambo yote unayajua na hata ukiwa na hamu unaweza kuziondoa bila kuumiza kichwa.
Hapo huwezi kuona umuhimu wa ndoa, mpaka umri ukishaenda ndo unakuja kugundua kwamba...
Ukitaka kuoa, hutakiwi kufikiria sana na kuchunguza kila kitu. Hakuna ambae utamkuta yupo perfect ili mradi tu amezaliwa na mwanamke. Anaweza kuwa na historia nzuri akabadilika baadae ukiwa upo nae mikononi mwako.
Changamoto zipo tu, mtoto wa kiume hutakiwi kuogopa changamoto.
Muombe Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.