Tena hiyo kule Nairobi wamenunua mtaa wa Islii mtaa wa matajiri wakenya hawana lao pale town labda awe na hela kana gaddafi wa zamani ,eti nackia uzushi kwamba hata yule Msomali hoteli zake anaziunguza makusudi ili alipwe na bima wakijaa huku tumekwisha jamaa wana hela mbaya tena nackia wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.