Recent content by super model

  1. super model

    Kuna muda mapenzi yanahitaji uwe na roho ngumu ili yaende sawa

    hahahahah nimeipenda hiyo mm nataka niwe jabali kabisa manake hawa viumbe wakujifanya tumetoka ubavuni mwao huwa hawaishiwag vitimbwi...... usipokua kauzu wanakupeleka mpera mpera sana...
  2. super model

    Wanawake vumilieni kwenye ndoa zenu; mtaani kugumu

    kuna vitu ambavyo havifai kuvumilia cuz wengne unakuta anapigwa daily kifo cha mbwa mwitu utangangania tu kuishi nae kisa unaogopa kuachika... haya ni maisha pale mtu unaona umeshindwa uvumilivu unajikataa tu... ndoa cyo pepo wala cyo kifungo uhuru upo kama mtu anajitambua na kuelewa haki zake...
  3. super model

    Huwezi amini nimepigiwa mke wangu kweupe

    czan kama yupo mwanamke mpumbavu anaweza kufanya mapenzii bafuni... tena nyumbn kwake hiyo sema ni story ya kutunga
  4. super model

    Ni ipi dawa ya kuondoa tatizo la hormonal imbalance?

    ke Sent using Jamii Forums mobile app
  5. super model

    Ni ipi dawa ya kuondoa tatizo la hormonal imbalance?

    Sent using Jamii Forums mobile app
  6. super model

    Ni ipi dawa ya kuondoa tatizo la hormonal imbalance?

    Mm ni mhanga wa tatizo la hormone inbalance na niligundua na ttzo hilo baada yakufanya vipimo kwa specialist ila dawa nilizopewa hazijasaidia chochote kubalance hormone zangu anaejua dawa zinazorekebisha haraka aniambie maana nashindwa kushika mimba kwa sababu ya hilo ttzo la hormone Sent using...
  7. super model

    Tabia hii sio nzuri kabisaa hasa kwa wanaume

    choko choko huyo hakufai ana tabia za kimarioo badala umuombe ww anataka kuteleza kwako mkaushie mwambie ww cyo bank akitaka benki aende crdb au nmb
  8. super model

    Mwenye makosa ni nani? Mke au mume?

    hii ndoa kiukweli haina tena furaha bali ni karaha mwanaume huyu tuseme bado ana akili za kitoto kweli mke wako mwenyew unashindwa kumnunulia usafiri unaenda mnunulia mdogo wako tena wa kike upendo wa kindugu upo but kwa hayo mkaka anayomfanyia mkewe puuu huo ni unafki mtupu mm binafsi mtu kama...
  9. super model

    Ninajihisi mjamzito, lakini sikumbuki ni wa nani

    kua mpole mtoto akizaliwa atakaefanana nae mpelekee mzgo wake wala usiumize kichwa sana uwez pata jibu kama ulikua jamvi la wageni
  10. super model

    Mke wangu usiondoke, yale maneno machafu niliyokutamkia ni kwa ajili ya pombe

    hayo uliyoyaandika hapa ingefaa ukamwambia mkeo ungekua umefanya cha maana zaidi au mkeo yupo jforum
  11. super model

    Si kwa mapenzi haya

    mapenzi mubashara
  12. super model

    Si kwa mapenzi haya

    hahah mapenzi mubashara
  13. super model

    Ushauri: Mke wangu kanikasirikia anadai hapendwi na ndugu zangu

    kua muwas acha kufichy ficha mambo mm naona watakua wamoesema n huyo mtoto cyo wako hayo mengne unayotueleza ni kuzungukka mbuyu tu
Back
Top Bottom