nosspass
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 5,798
- 4,752
mwanamke asiache kazi kamwe.......
ninachoona hapo huyo mwanamke anaangalia wanaomtazama......hivi akipata chongo au ulemavu kwa kipigo atamlaumu nani ( kuachwa ni aibu) unaachwa mnaachana???ushawekewa kika bibi huna kwenu....gari hakuna kuuza wala kuacha kazi....waambie wakurudishe kwenu......wanao kila siku wanaona unapigwa....mmeo sidhani kama alienda jandoni huyoo.....maisha hayasimami bibie.......songa mbele.....acha kazi then uje na story ya ukewenza.....
ninachoona hapo huyo mwanamke anaangalia wanaomtazama......hivi akipata chongo au ulemavu kwa kipigo atamlaumu nani ( kuachwa ni aibu) unaachwa mnaachana???ushawekewa kika bibi huna kwenu....gari hakuna kuuza wala kuacha kazi....waambie wakurudishe kwenu......wanao kila siku wanaona unapigwa....mmeo sidhani kama alienda jandoni huyoo.....maisha hayasimami bibie.......songa mbele.....acha kazi then uje na story ya ukewenza.....