kawombe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 12,821
- 13,139
nilimuambia apotezey ila bado anacukulia serious ,,kashfa yenyew ni kwamba wanadai mtoto ana puwa likubwa eti sbb eti kwamba uko wetu hmna mwenye puwa likubwa ila naona ni sbb wanamuona kweny pica tuuu sbb mimi naona dogo ni handsome kama mimi baba ake!!so wife anaposkia kashfa hizo zinamuuma na pia zinauma ila nimejthd kuzizima !
Hongera kwanza kwa kupata mtoto!!cha maana mpeleke mtoto kwa bibi/babu yake wakambebe na kumuona live. Hv vya picha vimeanza lini jamani kama picha ilipigwa vibaya au camera aina ubora.