sio kweli kwamba ukipiga kura ya hapana unataka katiba ya zamani hapo ni kwamba kura ya hapana itafanya raisi haitishe bmk warudie kazi upya ili kuondoa hizo kasoro labda ipigiwe kura ya hapana tena ndo tutarudi kwenye katiba ya zamani! so acha upotoshaji!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.