Tuache ujuaji Watanzania Kufungwa kupo tu Moloko ni kocha mzuri tangu aanze kufundisha Taifa Stars Imepiga hatua hata tukifungwa hatufungwi kwa mabao mengi, moloko uwezo wake unaonekana aliipeleke namungo Shirikisho.
Angefanya nini ni wazi Morocco walikuwa wametuzidi uwezo na mbinu na wana...
Hakuna mpenzi wa soka aliyefurahia Taifa Stars kufungwa wanaofurahia sio mashabiki wa kabumbu au wengine ni mashabiki wa kabumbu ila hawana tofauti na sungura wa sizitaki mbichi hizi
Hujaelewa msingi Wa App.Msingi wa App Sio Kukupa Location Msingi wa App Ni Kukueleza Upande daladala Ipi.Mfano Nipo Manzese Nataka Kwenda Masaki App Itanielekeza Nipande Daladala za Mabibo-Makumbusho Nishuke Kinondoni Kisha Nipande Daladala za Masaki-Mawasiliano hyo Ndo Kazi Ya App
Habari wana Ndugu,
Nilishawahi Kupotea Dar Nina Pesa Mkononi,Naona Daladala Zinapita Lakini Sijui Nipande Ipi Ili Nifike Ninapokusudia
Ghafla Paap! Naona Mdada Kasimama
Mimi:Mambo Samahani Dada (Huku Nikiwa na Kiaibu cha Kuuliza Ofkoz Kuna Kiaibu fulani Ukiwa Unauliza ) Hivi Hapa Nikitaka...
Siku ya Malipo bado Haijafika.Mungu Akikulipa Duniani ni kwa Mapenzi yake Akikuacha Ni Kwa Mapenzi Yake Na Allah Ndo Mjuzi wa Mambo.Kama Hiyo Quran Ingemletea Madhara Mngesema Waislamu Wachawi Kitabu Chao Cha Majini,Isipoleta Madhara Mungu Kashindwa Ndo Sifa Za Makafiri
Mtoaji mada ameongea kwa Jazba Sana.Mpaka Akashindwa Kueleweka
Jerusalem Sio sehemu ya Wakrtisto pia.
Wayahudi ni Kabila na Ni Dini Pia.
Kitendo tu cha Israel Kuwa Katikati ya Nchi Za Kiarabu,Kuzungukwa Na Nchi za Kiislamu inatosha Kuaamini kuwa eneo hilo limekaa Kiislam islam.
Habari Wana Jamvi,
Natanguliza Shukran. Nakuja Kwenu Kama Familia Yangu/Jamii Yangu. Naomba Msaada Mwenye Sanduku La Posta Ambalo Lipo Active Nitumie Kupokea Document Yangu Mara Moja tu. Mimi sio Mtumiaji wa Sanduku la Posta na Wala sijui sana kuhusu posta Lakini Imenibidi nitumie Kipindi Hiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.