Recent content by super bray

  1. S

    Natafuta eneo la kuuza chips

    Haswaaa isije tukaanza kumpa uzoefu wakati hatujui alipo yeye Sent using Jamii Forums mobile app
  2. S

    Shinyanga: Ofisa wa NIDA mbaroni kwa kutoza wananchi Tsh 30,000 ili kuwapatia namba

    Kufa kufaana Mushi kajiongeza. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. S

    Kidogo nife ningekaa kiree kisa demu.

    Itakuwa ni mimi tu ndiyo sijaelewa hii Sent using Jamii Forums mobile app
  4. S

    Kipanya nini tena wewe na mtoto wa mkulima?

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] JF noma Sent using Jamii Forums mobile app
  5. S

    Mapafu yameshituka ghafla!

    Asee! Si ungebaki huko huko Ughaibuni huku tuachie sisi tuliozoea hali ya hewa nzito Sent using Jamii Forums mobile app
  6. S

    Alimkomoa mumewe akanipenda, sasa kaniacha bila sababu

    Sasa si unaona stress zimehamia kwako yeye sasa hivi anabembelezana na mume wake Sent using Jamii Forums mobile app
  7. S

    Alimkomoa mumewe akanipenda, sasa kaniacha bila sababu

    Siku nyingine usirudie kumkomoa mwanaume mwenzako maana wanawake hawatabiriki mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. S

    Je, unaikumbuka show mbovu kabisa iliyowahi kukutokea?

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli mkuu we ni funzadume
  9. S

    Mademu na mishe zao za kuzungushana

    Hizo nini nini kibao anazokuuliza ni kwamba kashakuangalia ushombeshombe wako ulionao kichwani.
  10. S

    Mama mkwe na mwana wote wanapiga mbonji kwangu

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] aisee umetisha mkuu
Back
Top Bottom