Recent content by supe 88

  1. supe 88

    Kwa hili, nimegundua jirani yangu sio mtu mzuri

    naona maswali yamekuwa meng kwa wana jf ni wajibu tu ni hivi;
  2. supe 88

    Diamond Platnumz na WCB kiujumla mnatukosea

    tumpe mda na yeye atapita ila historia yake itakuwa hivi DAIMOND NDIO MSANII ALIEWEZA KUTOA NYIMBO ZINAZOPOTEZA RADHA NDANI YA WIKI kwahy mtoa mada hakuna namna tumuache
  3. supe 88

    Kwa hili, nimegundua jirani yangu sio mtu mzuri

    Wao ni wakubwa wangu wamenizidi kama miaka 23 yaan yangu 26 ongeza 23 ndio umri wao.
  4. supe 88

    Kwa hili, nimegundua jirani yangu sio mtu mzuri

    Leo ndio nimethibitisha kauli ya wahenga "kikulacho ki nguoni mwako" Ni hivi hapa ninapoishi nipo kuna jirani yangu tulishibana sana na tulikuwa zaidi ya ndugu shida yake ilikuwa yangu yangu ilikuwa yake ilifikia hadi hatua watoto wetu walikuwa wanachagua sehem ya kulala leo nikalale kule au...
  5. supe 88

    GE2020 Kupanda bei ya sukari na uhaba wa mafuta kuelekea Uchaguzi Mkuu

    ngoja nipite maana me mfanyabiashara nikichangha itakula kwangu hebu tuendelee kuisifia awamu ya tano kwa kutuleta hapa
  6. supe 88

    Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

    weeeeeee oyoooooo leleleeee jamaa alikuwa dicteta sana shuleni nakumbuka siku moja tukamvizia choon wacha tumpe kipondo
  7. supe 88

    Ajali ya Mto Wami: Dereva aliekuwa anaendesha lori la mbele ashitakiwe kwa kusababisha ajali

    haya mambo sikia tu ila sisi madereva tunajua mziki wake
  8. supe 88

    Ajali ya Mto Wami: Dereva aliekuwa anaendesha lori la mbele ashitakiwe kwa kusababisha ajali

    nilichogundua humu walopokaji mpo,,, weng piga kelele kwa bosii akee weeeewee hitimisho muende veta muombe kaz mpate ajali mtupe mrejesho
  9. supe 88

    Rama Dee tatizo ni nyota au ni nini jamani?

    asilaumiwe msanii walaumiwe mashabiki wa msanii wengi wenu unafiki umewazid kaz kusifia tu kwenye show hamuonekan msanii anafeli kutokana na mashabiki wake
  10. supe 88

    Rama Dee tatizo ni nyota au ni nini jamani?

    asilaumiwe msanii walaumiwe mashabiki wa msanii wengi wenu unafiki umewazid kaz kusifia tu kwenye show hamuonekan msanii anafeli kutokana na mashabiki wake
  11. supe 88

    Rama Dee tatizo ni nyota au ni nini jamani?

    asilaumiwe msanii walaumiwe mashabiki wa msanii wengi wenu unafiki umewazid kaz kusifia tu kwenye show hamuonekan msanii anafeli kutokana na mashabiki wake
  12. supe 88

    Wahuni waiba engine ya lori lililotumbukia Mto Wami

    kwani dereva amekutwa kafa au?
  13. supe 88

    GE2020 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitashinda kwa kishindo

    ila mnisamehe kiufupi sisi ni wezi
Back
Top Bottom