Recent content by Supastar

  1. Supastar

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

    Naona humu ndani Wachaga mnajitapa sana nyie ndo mna akili sana kuliko makabila mengine nchi hii ,Kwahiyo wengine sisi ni wajinga ,kwa kauli zenu za kibaguzi kama hizi nimeanza kuwachukia maana nyie ni watu wenye ukabila usiojificha na hata alilosema rais sio siri kila mtz anajua hilo lakini...
  2. Supastar

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanaoropoka mnatia hasira sana

    Ukimfokea ndo hizo hela zinakuja? Mi naona ndo unampa stress ashindwe hata kufocus na kazi zake zinazokufanya uende chooni Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Supastar

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanaoropoka mnatia hasira sana

    MWANAMKE MWENYE GUBU KAMA HUYU Jamaa kaamka asubuhi kavaa track suit akamuamsha mkewe MUME:Amka twende jogging mke wangu? MKE: Alaaa kwa hiyo una maana mi tipwatipwa? MUME: Hapana si hivyo jogging ni nzuri kwa afya. MKE: Kwa hiyo una maana mi mgonjwa? MUME: Basi yaishe endelea kulala...
  4. Supastar

    JamiiForums Tanzania Mahusiano ya kingono yanavyoanza kati ya Mwalimu na Mwanafunzi

    Ni noma sana yaani kama nawaona vero na mwalimu wake[emoji1][emoji1] Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Supastar

    JamiiForums Tanzania Wa mwisho ndiyo mshindi

    Gani ni jibu au swali? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Supastar

    JamiiForums Tanzania Mara Paaap!! Tumebaki watu weusi tupu

    Tutatumia magari,simu na tv zao sasa zikiisha hapo tunarudi zama za mawe za giza [emoji1][emoji2] Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Supastar

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanaoropoka mnatia hasira sana

    Nitaelewa nini mkuu tiririka tuu kwa faida ya wengi Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Supastar

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanaoropoka mnatia hasira sana

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Supastar

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanaoropoka mnatia hasira sana

    Wanaume tunajitahidi kuchuja hawa akina mwajuma hawachuji wao ni kuongea litakavyotoka tuu aibu ataiona anaeambiwa na wanaosikia Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Supastar

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanaoropoka mnatia hasira sana

    Kumbe silaha [emoji849] Ndoa nayo inakuwa ni vita Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Supastar

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanaoropoka mnatia hasira sana

    Ipo hivi, mara nyingi wadada mnateswa na midomo yenu kwenye ndoa, mnaropoka mnajibizana, mnakalipia utadhani na wewe ni mwanaume, midomo yenu miepesi kutoa neno bila kuchuja kwa waume zenu Sasa kama sahivi mumeo au mpenzi wako HAKUSIKILIZI ujue tuu kuuanafanya hivyo makusudi kukuumiza ili...
  12. Supastar

    JamiiForums Tanzania Dar: Jeshi la Polisi lamuhoji Josephat Gwajima kwa tuhuma za kuhamasisha watu kuunda kikundi cha kikabila

    Wewe si msukuma acha kujipendekeza Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Supastar

    JamiiForums Tanzania Dar: Jeshi la Polisi lamuhoji Josephat Gwajima kwa tuhuma za kuhamasisha watu kuunda kikundi cha kikabila

    Acha upumbavu ww unaujanja gani Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Supastar

    JamiiForums Tanzania Dar: Jeshi la Polisi lamuhoji Josephat Gwajima kwa tuhuma za kuhamasisha watu kuunda kikundi cha kikabila

    mapinduzi daima, Mimi ni msukuma ujumbe nimeupata na nitaufanyia kazi, Wasukuma lazima tuungane tukuze uchumi wetu Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Supastar

    JamiiForums Tanzania Kutoka kuwa Mkurugenzi wa TISS na kuwa IGP hii imekaaje?

    Mkuu wa jeshi la kujenga Taifa Jkt mbona hujamuweka hapo? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom